johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,897
Naomba anayejua sababu ya kutowasikia wanasiasa wa upinzani kule Zanzibar wakihamia chama tawala anijuze tafadhali.
Au sisi Watanganyika tunajua kucheza na kete za kisiasa kuliko Wazanzibari?
Majibu tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Au sisi Watanganyika tunajua kucheza na kete za kisiasa kuliko Wazanzibari?
Majibu tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!