Kwanini CCM ndio wanalia CHADEMA wapeleke Wabunge wa Viti Maalum na si CHADEMA wenyewe?

Halafu inasemekana hata wahisani huwa wanakubali kuchangia bajeti kuu ya serikali baada ya kupata maoni ya kambi ya upinzani.
Kwa staili hii hiyo kambi ya upinzani wataipatajeee
Yes Mkuu inawezekana kuna barua za wahisani confidential za mashinikizo wameanza kupokea, nimewaza tu.
 
Hzo stori mnaandika wenyewe na jana bavicha walienda ofc za nec kutaka viti maalum, hao ccm wamelilia wapi? Umesikia tamko toka ccm wakiongea kuhusu hilo? Acheni uzushi chapeni kazi muda unaenda
 
Hzo stori mnaandika wenyewe na jana bavicha walienda ofc za nec kutaka viti maalum, hao ccm wamelilia wapi? Umesikia tamko toka ccm wakiongea kuhusu hilo? Acheni uzushi chapeni kazi muda unaenda
Halafu kweli
 
Nimesoma kutoka twitter kwenye akaunti ya kamandana mmoja akiandika kuwa Job anawapigia simu baadhi ya wanawake wa CHADEMA waliowahi kuwa wabunge akiwataka wakubali nafasi za viti maalamu

Kazi kweli kweli. CDM wakikomaa hapa mbona asubuhi si mbali?
 
Habari
Kila mmoja wetu ni shahidi kwamba tangu alipoingia madarakani bwana John Joseph pombe magufuli kauli zake na vitendo vyake ilikuwa ni kuua upinzani hasa chadema.
Tumekuja mpaka 2020 kwenye uchaguzi mkuu tukashuhudia ambayo kila mmoja wetu anajua pamoja na kauli tata kwamba wapinzani ndio wanachelewesha maendeleo ya watanzania.
Hatimaye uchaguzi ukaisha na ccm wakaibuka kidedea kwa mbinu wanazojua wao. Ndugu zetu upande wa pili/chadema wakaamua kujiweka pembeni ili serikali ya ccm iweze kuharakisha maendeleo kwa wananchi, ila cha ajabu kuna kilio kikubwa kutoka ccm kuhusiana na jambo hili.
Yani viongozi wetu pamoja na sisi wafuasi wa chadema tumejiweka pembeni kuhusiana na jambo hili ila ccm wanahangaika sana kulikoni?

Naombeni mnisaidie nipate kuelewa nini kiko nyuma ya kilio hiki cha ccm wakati mahubiri yao siku zote ni kwamba wapinzani hawafai, wapinzani wanachelewesha maendeleo ya wananchi, wapinzani wanashirikiana na mabeberu, upinzani umekufa na maneno mengi ya namna hiyo.
Hata hapa jamiiforums tunaona vijana wa ccm wakijitahidi kuanzisha mada za kuwaomba viongozi wetu wakubali kupeleka wabunge wa viti maalum, wamefika mbali hadi kuleta nukuu za makada wa ccm wakitaka chadema wakubali kupeleka wabunge wa viti maalum.

Je, kuna nini nyuma ya pazia?
Kwa sababu wapate kuwatumia kuhalalisha uchafuzi wao.
 
Habari
Kila mmoja wetu ni shahidi kwamba tangu alipoingia madarakani bwana John Joseph pombe magufuli kauli zake na vitendo vyake ilikuwa ni kuua upinzani hasa chadema.
Tumekuja mpaka 2020 kwenye uchaguzi mkuu tukashuhudia ambayo kila mmoja wetu anajua pamoja na kauli tata kwamba wapinzani ndio wanachelewesha maendeleo ya watanzania.
Hatimaye uchaguzi ukaisha na ccm wakaibuka kidedea kwa mbinu wanazojua wao. Ndugu zetu upande wa pili/chadema wakaamua kujiweka pembeni ili serikali ya ccm iweze kuharakisha maendeleo kwa wananchi, ila cha ajabu kuna kilio kikubwa kutoka ccm kuhusiana na jambo hili.
Yani viongozi wetu pamoja na sisi wafuasi wa chadema tumejiweka pembeni kuhusiana na jambo hili ila ccm wanahangaika sana kulikoni?

Naombeni mnisaidie nipate kuelewa nini kiko nyuma ya kilio hiki cha ccm wakati mahubiri yao siku zote ni kwamba wapinzani hawafai, wapinzani wanachelewesha maendeleo ya wananchi, wapinzani wanashirikiana na mabeberu, upinzani umekufa na maneno mengi ya namna hiyo.
Hata hapa jamiiforums tunaona vijana wa ccm wakijitahidi kuanzisha mada za kuwaomba viongozi wetu wakubali kupeleka wabunge wa viti maalum, wamefika mbali hadi kuleta nukuu za makada wa ccm wakitaka chadema wakubali kupeleka wabunge wa viti maalum.

Je, kuna nini nyuma ya pazia?
Mkuu embu nifafanulie hapa, kwani viti maalumu lazima wapewe cdm si wanaweza kutoa hivyo viti kwa vyama vingine pinzani? Tz kuna vyama zaidi ya 15. Naomba ufafanuzi
 
Mkuu embu nifafanulie hapa, kwani viti maalumu lazima wapewe cdm si wanaweza kutoa hivyo viti kwa vyama vingine pinzani? Tz kuna vyama zaidi ya 15. Naomba ufafanuzi
Viti maalum vina patikana kutokana na idadi ya wingi wa kura je wewe ni CCM ili niweze kukuelimisha vizuri
 
Mkuu embu nifafanulie hapa, kwani viti maalumu lazima wapewe cdm si wanaweza kutoa hivyo viti kwa vyama vingine pinzani? Tz kuna vyama zaidi ya 15. Naomba ufafanuzi
Chama kinachopata kura nyingi za ubunge ndo kinapewa viti vingi maalumu kikifatiwa na kilichofuata. Hivyo chadema ndo kina sifa hiyo kwani kura walizopata wabunge wao ni nyingi kuliko za wale wa vyama vingine vya mageuzi
 
Habari
Kila mmoja wetu ni shahidi kwamba tangu alipoingia madarakani bwana John Joseph pombe magufuli kauli zake na vitendo vyake ilikuwa ni kuua upinzani hasa chadema.
Tumekuja mpaka 2020 kwenye uchaguzi mkuu tukashuhudia ambayo kila mmoja wetu anajua pamoja na kauli tata kwamba wapinzani ndio wanachelewesha maendeleo ya watanzania.
Hatimaye uchaguzi ukaisha na ccm wakaibuka kidedea kwa mbinu wanazojua wao. Ndugu zetu upande wa pili/chadema wakaamua kujiweka pembeni ili serikali ya ccm iweze kuharakisha maendeleo kwa wananchi, ila cha ajabu kuna kilio kikubwa kutoka ccm kuhusiana na jambo hili.
Yani viongozi wetu pamoja na sisi wafuasi wa chadema tumejiweka pembeni kuhusiana na jambo hili ila ccm wanahangaika sana kulikoni?

Naombeni mnisaidie nipate kuelewa nini kiko nyuma ya kilio hiki cha ccm wakati mahubiri yao siku zote ni kwamba wapinzani hawafai, wapinzani wanachelewesha maendeleo ya wananchi, wapinzani wanashirikiana na mabeberu, upinzani umekufa na maneno mengi ya namna hiyo.
Hata hapa jamiiforums tunaona vijana wa ccm wakijitahidi kuanzisha mada za kuwaomba viongozi wetu wakubali kupeleka wabunge wa viti maalum, wamefika mbali hadi kuleta nukuu za makada wa ccm wakitaka chadema wakubali kupeleka wabunge wa viti maalum.

Je, kuna nini nyuma ya pazia?
wewe weka ushahidi hapa,nani anakubembeleza wewe mwana wa mbeligiji😂😂😂😂
 
Chama kinachopata kura nyingi za ubunge ndo kinapewa viti vingi maalumu kikifatiwa na kilichofuata. Hivyo chadema ndo kina sifa hiyo kwani kura walizopata wabunge wao ni nyingi kuliko za wale wa vyama vingine vya mageuzi
Asante sasa nimeelewa, nimepita viunga vya Twitter nimeona tayari bawacha wamejipeleka nec. Japo mwenyekiti wetu amesimamia msimamo wake wa NO
 
Hzo stori mnaandika wenyewe na jana bavicha walienda ofc za nec kutaka viti maalum, hao ccm wamelilia wapi? Umesikia tamko toka ccm wakiongea kuhusu hilo? Acheni uzushi chapeni kazi muda unaenda

Unataka watoe tamko hadharani, kwani ni wajinga kiasi hicho?
 
Bahati mbaya tuna kiongoz mbabe asiye na uwezo wa kufikiri,ni short sighted huku amezungukwa na mandondocha.
 
Nafikir sasa ndo wakat wa kujua nani mpinzani halisi... hapa inatakiwa uongozi upange mkakati wa kudai katiba mpya ama wadai tume huru kwa nguvu zote... wajipange kwa ajili ya 2025

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wameiba ng'ombe na kengele yake
Kabisa wameiba Ng'ombe na kengele yake ...

Sasa Ng'ombe wamechinja wamekula nyama kengele inawapigia kelele wanataka kuirudisha ...

Waichemshe na yenyewe waile kama walivyolula nyama ...

Haki nawaambia CCM hili la uchaguzi litawetesa kwa miaka mitano ijayo

Ukweli nikwamba mioyo ya watanzania ipo tofauti na nyinyi wakae wakijua wanaongoza watu na sio utu ...
 
Back
Top Bottom