Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,517
- 860,567
Chama wakala wa Mbeligiji, nacho kinataka uongozi wa nchi.Natambua wananchi WANATHAMINI sana hii miradi iliyoanzishwa au kuendeleza na serikali chini ya J.P.Magufuli.Hasa kwa wale wanaopenda Maendeleo.
Usidanganyike na serikali ya CHADEMA ya mtandaoni ambayo makao makuu yao yapo twitter!!
Refer, Taarifa za CHADEMA ya Mtandaoni kipindi cha CORONA hasa kutuhusu sisi wakazi wa Dar es salaam. Utatambua hawa jamaa wapo kuexaggerate any Fact.
CCM ya Jana ni KANU ya Leo. Nasema ni Leo maana ni mwezi huu. JAMBO LETU ni 28/10/2020.Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
Mkuu Bujibuji hii umeitoa wapi,mbona Kama huu mwandiko ni wa malaika mkuu🤣We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo
Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
Inaleta maendeleo tangu mwaka 1961 hadi leo ? Mbona hayo maendeleo hayafiki? CCM ni ukoo wa panya . ninasubiri 28 Oct.Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
👊👊Inashangaza jinsi CCM wanavyoongoza nchi kidikteta na kuharibu mshikamano wa watanzani kwa kuingiza ukabila, ubaguzi, nk. Pia kuna ufisadi mkubwa umetendeka wakati wa awamu hii. Ukweli ni kwamba magu hajafanya chochote cha maana ila kelele zimekuwa nyingi mno na wapo watu wameshurutishwa kupiga kelele kuonesha mambo makubwa yamefanywa ila sasa watu wamegundua ni uongo mtupu hakuna la ajabu.
Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
CCM ni kikwazo cha maendeleo, miaka karibia sitini ya uhuru bado watu wanaahidiwa kupatiwa maji ya bomba na wanafunzi wanakaa chini. Kwa hali ya hewa tuliyonayo na utulivu wa kisasa uliopo, tulipaswa tuwe level za Afrika Kusini au Nigeria.Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
Hiki ni Kingereza cha kutokana na elimu Bora au Bora elimu?
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Katiba ya nchi hii inatakiwa ibadilishwe mapema sana,imechangia manyanyaso mengi kwa wananchi kwa hii miaka mitano ya Magu.Hakuna maendeleo wala mradi wowote wa maana wenye levo ya kitaifa hata mmoja.
Tunalipa kodi hatuoni chochote kilichofanywa na CCM miaka 60 sasa ni utopolo mtupu.
Hakuna wizara hata moja wala secta moja wanayoweza wakajivunia kwa miaka 60.
Badala yake CCM imejikita kwenye.
1. Kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari.
2.kunyima uhuru na hakk za raia kutoa maoni.
3kupigwa wanasia risasi.
4.kuua akina Akwiina.
5.Kuteka akina mo roma nk.
6. Kuharibu diplomasia ya nchi.
7.miili ya watu waliouwawa na kutupwa ufukweni mwa bahari.
8. Mtu mmoja anakaichezea nchi atakavyo.
.
Hakuna kitu ccm imefanya kwa Miaka 60 wana
Akamalizia na we have no blazas,we have no fazas..Kiingereza hiki kinatokana na Big Results Now (BRN)
Kwani wakoloni hawakuleta maendeleo? Shule, makanisa, reli, barabara na huduma za afyaIpo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.
Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.
Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
Lakini mbona ile slogan yetu ya nchi ya viwanda haisikiki tena? Au lilikuwa changa la macho.Natambua wananchi wanathamini sana hii miradi iliyoanzishwa au kuendeleza na serikali chini ya J.P.Magufuli.Hasa kwa wale wanaopenda Maendeleo.
Usidanganyike na serikali ya CHADEMA ya mtandaoni ambayo makao makuu yao yapo Twitter!!
Refer, Taarifa za CHADEMA ya Mtandaoni kipindi cha CORONA hasa kutuhusu sisi wakazi wa Dar es salaam. Utatambua hawa jamaa wapo kuexaggerate any Fact.