Kwanini CCM inachukiwa wakati imeleta maendeleo?

Kwanini CCM inachukiwa wakati imeleta maendeleo?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.

Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.

Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
 
Natambua wananchi wanathamini sana hii miradi iliyoanzishwa au kuendeleza na serikali chini ya J.P.Magufuli.Hasa kwa wale wanaopenda Maendeleo.

Usidanganyike na serikali ya CHADEMA ya mtandaoni ambayo makao makuu yao yapo Twitter!!

Refer, Taarifa za CHADEMA ya Mtandaoni kipindi cha CORONA hasa kutuhusu sisi wakazi wa Dar es salaam. Utatambua hawa jamaa wapo kuexaggerate any Fact.
 
Inashangaza jinsi CCM wanavyoongoza nchi kidikteta na kuharibu mshikamano wa watanzani kwa kuingiza ukabila, ubaguzi, nk. Pia kuna ufisadi mkubwa umetendeka wakati wa awamu hii.

Ukweli ni kwamba Magu hajafanya chochote cha maana ila kelele zimekuwa nyingi mno na wapo watu wameshurutishwa kupiga kelele kuonesha mambo makubwa yamefanywa ila sasa watu wamegundua ni uongo mtupu hakuna la ajabu.
 
Miradi yote wanayodai ni ya maendeleo imejaa ufisadi wa kutisha sana, na pia chuki imezidi baada ya utawala huu kuwa na tabia mbovu za kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani, kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kwa kuwatumia TRA , kuiba trilion. 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na ufisadi kwenye miradi yote mikubwa
 
Inashangaza jinsi CCM wanavyoongoza nchi kidikteta na kuharibu mshikamano wa watanzani kwa kuingiza ukabila, ubaguzi, nk. Pia kuna ufisadi mkubwa umetendeka wakati wa awamu hii. Ukweli ni kwamba magu hajafanya chochote cha maana ila kelele zimekuwa nyingi mno na wapo watu wameshurutishwa kupiga kelele kuonesha mambo makubwa yamefanywa ila sasa watu wamegundua ni uongo mtupu hakuna la ajabu.
Wanatumia mikwara kunyamazisha watu kisha wao wanapiga dili, deni la Taifa limepanda mara Dufu hakuna unafuu wa maisha CCM ni ile ile ukoo wa panya hakuna malaika wote ni wapiga dili
 
Natambua wananchi WANATHAMINI sana hii miradi iliyoanzishwa au kuendeleza na serikali chini ya J.P.Magufuli.Hasa kwa wale wanaopenda Maendeleo.

Usidanganyike na serikali ya CHADEMA ya mtandaoni ambayo makao makuu yao yapo twitter!!

Refer, Taarifa za CHADEMA ya Mtandaoni kipindi cha CORONA hasa kutuhusu sisi wakazi wa Dar es salaam. Utatambua hawa jamaa wapo kuexaggerate any Fact.
Haya yana uhusiano gani na ujenzi wa Chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Ununuzi wa Ndege kwa cash wajanja wachache wakala 10% kwa cash huku shirika la Ndege ATCL likijiendesha kwa hasara kubwa zaidi ya hapo awali
 
Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.

Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.

Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?


Mfano mdogo:

"Hivi waliokuwa wananufaika na biashara za mipakani kulikofungwa muda wote kwa ajili ya Corona hali kodi wakiendelea kutozwa vilivyo wataipenda vipi CCM?"
 
Chuki kubwa kwa CCM imeongezeka zaidi baada ya Tumeccm na Polisiccm kuonyesha kuwa ni vyombo binafsi vya CCM wakati vinalipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi ambao wengi ni wapinzani na watanzania wasio na vyama, mara nyingi CCM siyo walipaji kodi lakini ni wafujaji wa kodi iliyolipwa na wananchi wote wa vyama vyote, chuki inazidi kila kukicha kadri Polisiccm wanavyozidi kuwanyanyasa wapinzani.
 
Hiki ni Kingereza cha kutokana na elimu Bora au Bora elimu?

"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
PhD ya ugoko ya kuiba mitihani na kukariri ili ufaulu mtihani matokeo yake ndiyo haya
 
Hiki ni Kingereza cha kutokana na elimu Bora au Bora elimu?

"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"

Hiki ni kiingereza cha kishamba kweli kweli.

Kwanini hajishtukii?

"Your excellence, I was just trying to preach but I can't reach you .... haha haaa."

Pamoja na makelele yote bado tu kaikomalia lugha hii asiyoweza kuimudu.
 
Polepole na Bashiru wamechangia kuongezeka chuki kubwa kwa CCM kutokana na mbinu zao za hovyo za kudidimiza demokrasia Nchini
 
Hiki ni kiingereza cha kishamba kweli kweli.

Kwa nini hajishtukii?

"You excellence, I was just trying to preach but I can't reach you .... haha haaa."

Pamoja na makelele yote badoka kaukomalia lugha hii asiyoweza kuimudu.
Mtukufu Magufuli lugha anayoijua vizuri ni kihutu tokea Burundi na pia kakisukuma kidogo
 
Mtukufu magufuli lugha anayoijua vizuri ni kihutu tokea Burundi na pia kakisukuma kidogo

Akomae na hizo anazozijua huku kwingine ni sawa na kujivua nguo hadharani.

Hajihurumii hata pale wengine wakiwamo wageni wake wanaopona aibu kwa niaba yake!

Kweli ujinga mzigo.
 
Hakuna maendeleo wala mradi wowote wa maana wenye levo ya kitaifa hata mmoja.

Tunalipa kodi hatuoni chochote kilichofanywa na CCM miaka 60 sasa ni utopolo mtupu.

Hakuna wizara hata moja wala secta moja wanayoweza wakajivunia kwa miaka 60.

Badala yake CCM imejikita kwenye.
1. Kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari.
2.kunyima uhuru na hakk za raia kutoa maoni.

3kupigwa wanasia risasi.
4.kuua akina Akwiina.
5.Kuteka akina mo roma nk.
6. Kuharibu diplomasia ya nchi.
7.miili ya watu waliouwawa na kutupwa ufukweni mwa bahari.
8. Mtu mmoja anakaichezea nchi atakavyo.
.

Hakuna kitu ccm imefanya kwa Miaka 60 wana
 
Hiki ni Kingereza cha kutokana na elimu Bora au Bora elimu?

"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mmechongewa madawati sasa mkafyatuane watoto wapate erimu bulee
 
Ipo chuki imeongezeka kwa chama Tawala ikianzia ndani ya chama na nje ya chama Cha mapinduzi. Wakati wakijinadi wameleta maendeleo wananchi wanakiri umaskini wa mtu mmoja mmoja umeongezeka, Haki kwa raia hakuna na hakuna utawala wa sheria.

Wapo wanaodai tunatakiwa tuumie tujifunze lakini wapo wanaodai ukishindwa kujiendeleza leo tambua huna Leo nyingine.

Je, kwanini wananchi wameacha kuthamini miradi inayoendelea na kuwachukia wanaowaletea hayo maendeleo?
INACHUKIWA NA MASAHOGA NA WAHUNIIINA WAPIGA DEAL NA HAWAFIKI HATA MILKUON 2 NCHI NZIMA ILA INAPENDWA NA WATU ZAID YA MILLION 50 NCHI NZIMA
 
Natambua wananchi WANATHAMINI sana hii miradi iliyoanzishwa au kuendeleza na serikali chini ya J.P.Magufuli.Hasa kwa wale wanaopenda Maendeleo.

Usidanganyike na serikali ya CHADEMA ya mtandaoni ambayo makao makuu yao yapo twitter!!

Refer, Taarifa za CHADEMA ya Mtandaoni kipindi cha CORONA hasa kutuhusu sisi wakazi wa Dar es salaam. Utatambua hawa jamaa wapo kuexaggerate any Fact.
Nakubali miradi hii ni long term. Tutafaidi baadaye. Tusiibeze hata kidogo
 

Inashangaza jinsi CCM wanavyoongoza nchi kidikteta na kuharibu mshikamano wa watanzani kwa kuingiza ukabila, ubaguzi, nk. Pia kuna ufisadi mkubwa umetendeka wakati wa awamu hii. Ukweli ni kwamba magu hajafanya chochote cha maana ila kelele zimekuwa nyingi mno na wapo watu wameshurutishwa kupiga kelele kuonesha mambo makubwa yamefanywa ila sasa watu wamegundua ni uongo mtupu hakuna la ajabu.
 
Back
Top Bottom