Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,917
Mara nyingi Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM amekuwa akijigamba kwamba kuna watu walidhani CCM itamfia mikononi mwake lakini haijamfia na inaendelea kuwepo. Kitendo cha JK kutofiwa na CCM mikononi mwake kunatokana na umahiri wake wa kiuongozi, mshikamano wa wanachama wake, ubora wa sera zake, mizengwe ya kisiasa ama ni matumizi ya nguvu za dola dhidi ya wapinzani wa CCM?
Kwa nini CCM haijamfia Kikwete na iko siku itakufa na itamfia nani?
Kwa nini CCM haijamfia Kikwete na iko siku itakufa na itamfia nani?