Wanachanganya maua na watu au kwenye ndege napo kuna butiKLM inabeba maua kutoka Arusha kuna faida ya maua wanapata.
America ni Noma sana
Kwahiyo mkuu likinyanyuka bila shidaHili dude ni balaa..kwa mara ya kwanza kulipanda nilijiona kama nipo kariakoo,sio kwa nyomi ile mle ndani! Nilihisi halitaweza kunyanyuka.
Kuna sehemu ya mizigo kwa chini ya viti vya abiria.Wanachanganya maua na watu au kwenye ndege napo kuna buti
Inaruhusiwa kisheria ama ni kuforceKuna sehemu ya mizigo kwa chini ya viti vya abiria.
Ndiko yanakokaa masanduku ya wasafiriInaruhusiwa kisheria ama ni kuforce
Ndege ni kama tube. Nusu ya juu ndio wanakaa abiria,nusu ya chini kuko wazi ndio kuna sehemu ya kuhifadhi mizigo kuanzia mbele Hadi nyuma. Kwenye mabawa ndio wameweka na matenki ya mafuta. Kwahio ndege ya abiria inapakia mizigo mingi kuzidi hata uzito wa abiria na mizigo ndio inawapa pesa nyingi.Wanachanganya maua na watu au kwenye ndege napo kuna buti
Hiki ndio kinatuponza wananchi, tumewakabidhi nchi wachumia tumbo, watu wabinafsi, wenye kujali wanapata nini sio Tanzania inapata nini..Moja ya sababu ni kuwa awamu ya nne walipewa offer na Emirates, viongozi wakuu wa serikali wakisafiri waliacha kupanda BA, first class na business class zilikosa wateja.
Pia gharama za landing na parking ndo chanzo.Moja ya sababu ni kuwa awamu ya nne walipewa offer na Emirates, viongozi wakuu wa serikali wakisafiri waliacha kupanda BA, first class na business class zilikosa wateja.
Moja ya sababu ni kuwa awamu ya nne walipewa offer na Emirates, viongozi wakuu wa serikali wakisafiri waliacha kupanda BA, first class na business class zilikosa wateja.
Lilinyanyuka bila tatizo lolote mkuu,tena unyanyukaji wake ni kimya kimya bila vurugu...mimi nikiwa bado nashangaa nilishtuka naiona Mfugale flyover kwa juu.Kwahiyo mkuu likinyanyuka bila shida
Kabisa nakumbuka marehemu mzee wangu alipandaga hili dude miaka ya 1990 mwanzoni akienda London in less than 12 hour akawa ameshafika alitusimulia... warudishe yaani kwenda ulaya mpaka uunganishe mandege meengi why!>?Hawa jamaa hawatasahaulika. 9 hrs ngosha upo Dar au Heathrow! No time to waste kabisa…
na hawa BA na Luftansa nk wajeView attachment 2219070
View attachment 2219077
Kuna mashirika kibao yana fanya safari za moja kwa moja tokea tanzania kuelekea Duniani, mashirika zaidi ya 20 ukiondoa Turkish, Ethiop, etihad, Oman, Qatar etc
Kuna mashirika ya moja kwa moja kwenda ktk nchi kama
1. GER
2. BELG
3. ITALY
4. USWISS
5. UKRAINE
6. FRANCE
ETC...
Haya ni moja kwa moja mpka ktk hizo nchi na zipo nyingi...
hachana na mashirika ambayo sija orodhesha kama Britsh, KLM, TURK etc...
Ukiwa na safari au ukiwa na wageni au ukiwa upo ktk shughuli/biashara za utalii utaelewa zaidi ukizingatia kalenda za watalii kuja na kuondoka...
N'yadikwa mrangi makaveli10 elvischirwa dist111 RRONDO Tajiri Kichwa Chemical Engineer ubarinolutu LOLA70 jebs2002 Kiokotee kina kirefu Undetectable 6Was9 raraa reree Mchizi utah jazz bolivia FaizaFoxy
British Airways ni ghali sana kwa watu wa kawaida ukilinganisha na Emirates na iliyokuwa Gulf Air. Halafu hakuna wateja wengi Watanzania katika kipindi kile.Moja ya sababu ni kuwa awamu ya nne walipewa offer na Emirates, viongozi wakuu wa serikali wakisafiri waliacha kupanda BA, first class na business class zilikosa wateja.
Kwanza linabeba abiria wazungu kutoka sehemu zote za Ulaya mpaka Marekani. Pili lina biashara ya ubebaji wa maua na mboga mboga kwa ajili ya soko la Ulaya.Klm yeye amewezaje, maana analeta dege lake lile boeing 777 - 300er kila siku na linajaza, na nauli zake siku zote zipo juu
Nilishawahi kupanda Air France kutoka Dar.Lugha ya malkia ilikuwa kikwazo, miaka ya 60 kulikuwa na PanAm, BAC, Lufthansa, Sabena na baba lao German Cargo, siku hizi wabongo wanaelekea China.