N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 8,207
- 12,509
Ndiyo tuwarudishe. Uingereza ni nchi ambayo watu wake wanaifahamu Tanzania uzuri. Kurejeshwa kwa safari za British Airways sambamba na zile za Shirika la Ujeremani la Luftansa kutaleta watalii wengi sana na wa Uhakika hapa Tanzania. Kusema ukweli utalii upo down sana. Nipo hapa Tellamande Lodge Sakina Arusha miaka ya 2013 haka kalodge kalikuwa kanajaa kama option ya watalii sasa hivi hakuna kitu...
Juzi nimeshinda Mount Meru Hotel moja ya mahoteli makubwa kabisa kwenye corridor hii ya Kaskazini wageni wa ulaya wachache sana...
Wizara ya Utalii, Mambo ya Nje, TANAPA na mamlaka nyingine za kiserikali tufanye kushawishi haya mashirika yarudishe safari zao Tanzania ATCL lijikite Asia.
We need tourists sana kukuza uchumi wetu. Royal Tour iende sambamba na hili suala...
Uwanja wa ndege Dar traffic ya international flights kwa macho tu unaona siyo kubwa kama ilivyokuwa zamani terminal II.
Best of Luck
Juzi nimeshinda Mount Meru Hotel moja ya mahoteli makubwa kabisa kwenye corridor hii ya Kaskazini wageni wa ulaya wachache sana...
Wizara ya Utalii, Mambo ya Nje, TANAPA na mamlaka nyingine za kiserikali tufanye kushawishi haya mashirika yarudishe safari zao Tanzania ATCL lijikite Asia.
We need tourists sana kukuza uchumi wetu. Royal Tour iende sambamba na hili suala...
Uwanja wa ndege Dar traffic ya international flights kwa macho tu unaona siyo kubwa kama ilivyokuwa zamani terminal II.
Best of Luck