mtafiti muelewa
Senior Member
- Oct 16, 2013
- 186
- 98
Habari wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya.
Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.
Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka Serikali inaprintiwa pesa?
Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje, tukakamilisha miradi mikubwa ya maendeleo, tukanunua madawa ya hospital na vyote ambavyo tunapungukiwa kama nchi?
Wanauchumi karibuni mtupe ABCs za hili jambo ili tupate kujifunza.
Natumai mu wazima wa afya.
Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.
Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka Serikali inaprintiwa pesa?
Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje, tukakamilisha miradi mikubwa ya maendeleo, tukanunua madawa ya hospital na vyote ambavyo tunapungukiwa kama nchi?
Wanauchumi karibuni mtupe ABCs za hili jambo ili tupate kujifunza.