Kwanini BoT wasiprint pesa nyingi ili Serikali ifanyie mambo yake?

Kwanza serikali inamamlaka ya kuprint pesa zake zenyewe bila kibali toka popote.....taasisi ya IMF huwa inakopesha etc fedha za kigeni serikali kama Kuna upungufu WA fedha za kigeni... Pia IMF huwa wana mapendekezo kadhaa kwa benki kuu kuhusu kuprint pesa.

Serikali huwa inprint fedha na kuziweka kwenye mzunguko Kama Kuna gap ya kufanya hivo na Kama hakuna madhara yanayoweza kutokea... NI JAMBO LA KAWAIDA.

shida huwa inakuja pale serikali inapoprint PESA nyingi kuliko mzunguko wa Shughuli za kiuchumi Hapo ndio ongezeko LA pesa kwenye mzunguko linaharibu uchumi kabisa na kusababisha mfumuko wa bei etc.

Kuprint pesa hapa namaanisha kuongeza fedha zingine mpya kwenye mzunguko na si kubadilisha mwonekano WA fedha au kubadilisha zilizochakaa.
 
Katika masuala ya pesa ni magumu kuyaelewa kwa ss ngosi nyeusi, Zimbabwe, Zambia walijaribu kuprint kilichotokea wanajua wenyewe, mpaka sasa wasomi wetu wa bongo wanaeleza lakini hawajui wanachokieleza, mfumo wa pesa ni waajabu sana, mpaka sasa najua thamani ya pesa yetu inaendelea kushuku tu. Kwa ss Tanzania tunaingiza vitu vingi kuliko kutoa vitu.
 
Kwanza serikali inamamlaka ya kuprint pesa zake zenyewe bila kibali toka popote.....taasisi ya IFM huwa inakopesha etc fedha za kigeni serikali kama Kuna upungufu WA fedha za kigeni... Pia IFM huwa wana mapendekezo kadhaa kwa benki kuu kuhusu kuprint pesa .
Serikali huwa inprint fedha na kuziweka kwenye mzunguko Kama Kuna gap ya kufanya hivo na Kama hakuna madhara yanayoweza kutokea... NI JAMBO LA KAWAIDA.
shida huwa inakuja pale serikali inapoprint PESA nyingi kuliko mzunguko wa Shughuli za kiuchumi Hapo ndio ongezeko LA pesa kwenye mzunguko linaharibu uchumi kabisa na kusababisha mfumuko wa bei etc..
kuprint pesa hapa namaanisha kuongeza fedha zingine mpya kwenye mzunguko na si kubadilisha mwonekano WA fedha au kubadilisha zilizochakaa.
IMF not IFM..pole.
 
Tricky question.

In a layman explanation.

Once upon a time we had barter trade. Trading by exchanging things by things on hands. Now what if I have 1 cow and i want to trade this 1 cow for only 1 goat. Since 1 cow and 1 goat aren't worth the same. Cow worth's higher than goat. So I need 1 goat and remaining value of my cow i.e the change. I don't want anything, I just want a goat and the remaining value. How would I be paid?

In early days if you had much golds you're a rich. So gold didn't solve the scenario above of barter trade.
The idea of money came in our heads. What we need is something that will trade things at different values and the remaining changes, hence making life simple. Just a single paper in pocket worth cows, car and a house.

How would the first money worth? Well do we have something very rarely and highly valued than other things? Yes it's Gold.

How do we value a single paper per gold?
Just make $ 1 paper per 1 milligramme of gold (just an example, not really how it works). That means 100 mg of gold and you have $100 in pockets.

You seeeeeeee!

If a cow worth $3, it would need me 3 mg of golds, now I'll give only $3 of paper money instead of golds and get my changes back.

Printing bunch of paper $ thinking you'll wake-up a rich is a dumb idea, it doesn't mostly work. Zimbabwe and Venezuela tried and failed.

Imagine a country prints trillions of paper $ and procure to every citizen in the country. Now everybody has $1000 in their pockets without sweat, I mean easily you get $ without production!. All of people need is rice to survive. It used to cost $1 for 1 kg of rice. Everyone has money now everyone will need to buy tonnes of rice and put them at their homes. Rice will be scarce in the market. Demand of rice will rise and hence firms and farmers will need to hire workers to work harder and produce more rices. Workers will demand high wages. And hence firms won't stand longer paying higher wages to rice producers. Now firms will consider raising the price of 1 kg of rice to $ 10. It's a hide and seek game.

Value of the currency drops (PPP). I mean PPP of rice in China may be is $0.5 but yours is $10.

You wanna buy rice in China by your currency you'll need 10/0.5 = 20 PPP of your currency.

As long as your government continue printing more moneys without considering its gold reserve, imports and exports its economy will crush.

Economy of the country grows by making things, selling them and of course the currency is determined by gold reserves. Gold is rarely and valued thing you know.
Waliokimbia umande hapa lazima waone maruweruwe.
 
Habari wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya.

Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.

Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka serikali inaprintiwa pesa?

Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje, tukakamilisha miradi mikubwa ya maendeleo, tukanunua madawa ya hospital na vyote ambavyo tunapungukiwa kama nchi?

Wanauchumi karibuni mtupe a,b,c za hili jambo ili tupate kujifunza.
Ili kukuza uchumi, unatakiwa kuzidisha uzalishaji.

Ukizidisha kuchapisha pesa tu, kitakachotokea ni kwamba ,hela zitakuwa nyingi, lakini vitu vitapanda bei sana (inflation).
 
ili kukuza uchumi inatakiwa uzalishaji uongezeke.Ukichapisha hela nyingi wakati hakuna uzalishaji maana yake ni kwamba watu watakuwa na hela nyingi sana lakini cha kununua hakuna!
Mkuu heshima yako chief .....mfilisi anakupa hi
 
Namimi naongezea swali, kuhusu foreign currency reserve, je ikitokea Tanzania imetuma majambazi sugu US, wakaenda kuiba dollar za kutosha kwa ajili ya reserve ya TZ.

Uchumi utaimarika assuming other factors remain constant, nikimaanisha hizo dollar hazijawa blacklisted maana inawezekana kuzitangaza ni batili kwa taifa la us, tufanye haya yote hayapo ila mzigo wa dollar za kimarekani umejazwa kwenye makontena ya kutosha yakaja tupwa BOT, wajuvi je tanzania itakua vizuri kwa kipindi hicho?
 
Kwanza serikali inamamlaka ya kuprint pesa zake zenyewe bila kibali toka popote.....taasisi ya IFM huwa inakopesha etc fedha za kigeni serikali kama Kuna upungufu WA fedha za kigeni... Pia IFM huwa wana mapendekezo kadhaa kwa benki kuu kuhusu kuprint pesa .
Serikali huwa inprint fedha na kuziweka kwenye mzunguko Kama Kuna gap ya kufanya hivo na Kama hakuna madhara yanayoweza kutokea... NI JAMBO LA KAWAIDA.
shida huwa inakuja pale serikali inapoprint PESA nyingi kuliko mzunguko wa Shughuli za kiuchumi Hapo ndio ongezeko LA pesa kwenye mzunguko linaharibu uchumi kabisa na kusababisha mfumuko wa bei etc..
kuprint pesa hapa namaanisha kuongeza fedha zingine mpya kwenye mzunguko na si kubadilisha mwonekano WA fedha au kubadilisha zilizochakaa.

Mkuu kumbe Chuo cha IFM kina pesa kiasi hiyo? wacha nikasome apo.

By the way ni IMF acha fyongo
 
Ukiprint hela nyingi:
1. Utasababisha mfumuko wa bei.
2. Pesa yako itapungua thamani.
3. Dunia itapoteza imani na pesa yako.
4. Utakuwa umefanikiwa kuua uchumi wa nchi yako.

Zimbabwe walijaribu hii kitu.
View attachment 1622051
Haujamuelewa, amesema tuprint nyingi halafu wapewe mataifa ya nje wanaotudai...... Hilo ndilo swali lake!

Ana assume kuwa ukiprint pesa na kuzipeleka nje then uchumi wa ndani hautaathirika na mfumuko wa bei sababu pesa zitakwenda nje!
 
Mi nataka nijue hao wanaotu-printia hizo pesa, sisi tunawalipa nini kwa kazi hiyo?

Majibu mengi kwenye swali hili hayaridhishi
Tunatumia reserve ya pesa za nje tuliyonayo BOT. So it means tunalipia huduma za ukandarasi kutokea nje....
 
Itatokeabonge la inflation kiasi kwamba tutaanza kununua mkate hata kwa laki. Pesa haiprintiwi hivi hivi inakuwa backed na shughuli za kiuchumi na demand.
Haujaelewa swali. Ameuliza kulipia madeni ya nje
 
Haujaelewa swali. Ameuliza kulipia madeni ya nje
Mbona nimemjibu, kuwa madeni ya nje ya nalipwa na foreign currency siyo pesa ya madafu. Sasa tutawezaje print pesa ya kigeni kwa ajili ya kulipa madeni ya nje.
 
Back
Top Bottom