Jamaa Fulani Mjuaji
Member
- Jul 25, 2020
- 65
- 125
Haya ni Maoni Yangu, kwa mtazamo wangu naona Hili swala linaumiza sana watoto wa walala hoi kwanini Bodi ya mikopo Elimu Ya Juu inaendesha mambo yake kwa ahadi za kisiasa sana.
Kwenye briefing zao na taarifa ambazo huwa wanazisoma mbele ya media huwa zinajaa mbwembwe sana kuwa tuna hela Tayari mKononi kiasi kadhaa za kuwapangia wanafunzi mikopo.
Kwa maelezo Yao waliyoyatoa walidai wana hela tayari imetolewa ya kuwapa wanafunzi vyuo vikuu laki moja na elfu sitini (160000/) nachojiuliza ni kuwa mpaka vyuo vinaelekea kufungua hata nusu ya hao wanafunzi laki na sitini walioahidi kutoa haifiki kati ya waliowatangazia kuwapa mkopo hii imekaaje.
Katika walioahidi laki na sitini wametoa majina hata nusu yake hawafiki. Kwa maoni Yangu Naona imekaa kisiasa Sana.
Nini Maoni Yako Katika Hili?
Kwenye briefing zao na taarifa ambazo huwa wanazisoma mbele ya media huwa zinajaa mbwembwe sana kuwa tuna hela Tayari mKononi kiasi kadhaa za kuwapangia wanafunzi mikopo.
Kwa maelezo Yao waliyoyatoa walidai wana hela tayari imetolewa ya kuwapa wanafunzi vyuo vikuu laki moja na elfu sitini (160000/) nachojiuliza ni kuwa mpaka vyuo vinaelekea kufungua hata nusu ya hao wanafunzi laki na sitini walioahidi kutoa haifiki kati ya waliowatangazia kuwapa mkopo hii imekaaje.
Katika walioahidi laki na sitini wametoa majina hata nusu yake hawafiki. Kwa maoni Yangu Naona imekaa kisiasa Sana.
Nini Maoni Yako Katika Hili?