Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?



hizo ni fujo mjomba!!!!waliopewa kuwasaidi wananchi kutii sheria bila shurti ni polisi,mahakama,na polisi jamii na siyo mtu mwingine au kikundi kingine!!!kama BVICHA wanaenda dodoma niwashauri wakuu wa chama ngazi za juu na aliyekuwa mgombea wao wa urais wawe mstali wa mbele (front line).wasiwatangulize vijana watoto wa maskini ambao nahisi wengi wao ni la saba au form four /six failures ambao hawajui historia ya mataifa mbali mabali na taifa lao!!!!imagine mtu anamtukana baba wa taifa hivi kweli mtu huyu anajua historia ya taiofa lake na umhimu wa viongozi wake?
 
Hii meseji nzuri kwa wakurupukaji..wazee wa manguvu bila akili madikteta uchwara
 
Itabidi Mahafali ya CHASO Dodoma yafanyike siku hiyo pia..
 
Labda tujiulize lengo la siasa ni nini. Inaonekaka kana kwamba siasa haihusiani na maendeleo, kwamba siasa ni kampeni dhidi ya chama au vyama. Mimi nafikiri kuwa siasa inahusiana na maisha ya watu ya kila siku.
Kwa hiyo labda tukataze vitu mfano maandamano, kampeni na vitu kama hivi lakini si siasa.
Malisa anasema Bavicha wanaenda DDM kuisaidia CCM kutii sheria bila shuruti. Wakifanya hivyo watashika mabango au watakuwa mabouncer getini? Ni njia ipi watatumia? Bungeni walitumia mbinu nyingi hadi kuziba midomo labda tukijua njia ipi itakuwa vizuri. Kwa maana kwa vyovyote mkutano wa ccm utafanyika.
Kwa kuwa ujumbe umefika labda tamko la kuzuia siasa laweza kutolewa upya.
 
Kama mnaona maandamano na mikutano ya kisiasa ina tija sana ,nendeni mkaandamane jimbo la Hai..

Sidhani kama polisi watawazuia
Unaongea kama mtu anayesikiliza raha ya kukata gogo huku anakula Karanga.. Hujui kusoma? Au unasoma halafu utaelewa kesho? Wapi yanazungumziwa maandamano
 
Ulisoma thread moja inayosema ma dc mbona wengi nikutokea kanda ya ziwa? Ukabila ni mfumo wa ccm ndio maana wengi wenu mnauwimba sana hukj jf
 
Dah aisee mnaumizaga kichwa ukawa.. Hii awamu nyingine take care... Sisi tupo busy tunadai risiti na Kulipa kodi tujenge nchi yetu nyie bado Mnataka siasa...
Umesahau kitu kimoja pia mpo busy naukandamizaji wa Demokrasia nchini
 
Bavichaaa wangejikita kuhoji ni kwa nini Mbowe aliuza chama chao?

Kwa nini Leo miaka 20 chadema haina ofisi??
 
Pathetic
 
Walichotakiwa chadema kufanya ni wao pia kuitisha mkutano wa ndani,siku hiyohiyo tena ikiwezekana dom hapohapo,halafu waone kama watazuiwa ama vipi

Ujiandae kuugulia maumivu pamoja nao
 
kijana mbona upo kama mtoto mdogo mwenzio ametoa analysis nzuri na ushauri juu nini kifanyike ww ina reply utumbo mkiambiwa ccm hamjasoma mnakasirika rudin shule kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…