Tamatheo
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,298
- 1,557
Nadhani umejibiwa hivi kutokana na kutoyavika nguo baadhi ya maneno..... Kuna my friend mmoja wakati wa ujana alikuwa na manzi wake na akaleta barazani kwamba manzi akiona mwanga tu mapenzi hamna, tukamwongeza akiwa ktk yao awashe taa kuona kinachofichwa.... Mayoooooooo kumbe manzi alikuwa ameshambuliwa na fungus + UTI na ilikuwa imefikia pabaya kiasi eneo lote limejaa kama usaha+damu. Back then jamaa alimsaidia na nadhani walikuja oana maana yule manzi alimpenda kuliko pendo la mwanamke kwa mwanamme unalolijua.... Hope kuna upande huu wa kuongela pia.