Kwanini baadhi ya wanaume hukataa kutoa talaka?

hv talaka inaandikwaje.?
Ni kwa mawasiliano toka kwa mume kwenda kwa mke na mke bila mashaka yoyote akaielewa taarifa ya mumewe kuwa ameachwa hata kama kwa utani.

Kwa mfano;
>kumwambia mke, 'nimekuacha' tayar ni talaka
>kumwambia mke 'nenda kwenu' halaf mke akauliza 'unamaanisha umeniacha?'. Mume akajibu 'ndio' tayar ni talaka
 
Walipofungia ndoa ni tofauti na mwanamke anapoishi je anaweza kwenda mahakama yoyote?
Siyo tatizo maadam uislam unasolve tatizo popote pale. Ila inaonesha ngazi ya familia za pande zote mbili haijaanzwa kabla ya jambo hilo kufikishwa kwa kadhi/mahkama. Kwa maana mwanamke hajivui tu hyo ndoa mwenyewe tu bila consensus na angalau ndugu/wasuluhishi wa pande mbili.
 
Kweli kuna watu wana bahati mimi na kiu huu mwezi wa tano sijaonja papuchi alafu kuna mtu anazikimbia eti...

Huyo mwanamke anaendeshaje maisha yake na mtoto,
Anafanya kazi,biashara,au anaishi kwao ?

Jamaa bado anampenda mke wake na hivi muislam anauwezo wa kuoa zaidi ya hao wawili.
 
Unajenga vipi suala kama hili? Mwanamke amefanyajitihada za kumuomba mume wake warudiane mume amekataa na talaka hatoi na yeye tayar anaishi na mwanamke
Kwa maelezo yako, huyo bi shost ni kama ametundikwa, hafaham kama yuko ndoani au kaachwa. Hii tumekemewa wanaume kuwaweka wake wetu namna hiyo.

Qur'an 4:129
 
Tafadhali naomba kueleweshwa hasa ni sababu gani zinasababisha mwanaume hususani wale wa kiislam kukataa kutoa talaka?

Nina ndugu yangu huu ni mwaka wa pili mwanaume hataki kumpa talaka na hamhudumii kwa chochote pamoja na kuwa amemuachia mtoto ila kuna siku huyo mwanaume huibuka kutaka amsalimie mtoto lakin akiambiwa matumizi hatoi.

Ila huyo mwanaume tayari anakaa na mwanamke mwingine na wameshazaa mtoto mmoja.
Sasa haelewi sababu iko wapi talaka hatoi?

Na huyu mwanamke akimpigia simu mwanaume hapokei ila yeye anataka ndiyo siku akijisikia anapiga na simu yake ipokelewe
Kwa nini ampe Talaka?
 
Maomba ufafanuzi zaid juu ya hili..pengine mwanga utapatikana
Kwa maelezo yako, huyo bi shost ni kama ametundikwa, hafaham kama yuko ndoani au kaachwa. Hii tumekemewa wanaume kuwaweka wake wetu namna hiyo.

Qur'an 4:129
 
Kweli kuna watu wana bahati mimi na kiu huu mwezi wa tano sijaonja papuchi alafu kuna mtu anazikimbia eti...

Huyo mwanamke anaendeshaje maisha yake na mtoto,
Anafanya kazi,biashara,au anaishi kwao ?

Jamaa bado anampenda mke wake na hivi muislam anauwezo wa kuoa zaidi ya hao wawili.
Mwanamke ana maisha yake ana biashara zake..siyo tatizo kabisa kuhusu matumiz yake na mtoto wake...
Dalili zipo za kuwa hata mwanaume anampenda mwanamke tatizo ndo hilo sasa wanaishi kibubuu tu!
 
Ukweli ni kuwa sisi kama familia ya mke hatumtaki kabisa huyu mwaume kwahiyo kusema kusuluhishwa itakua vigumu na upande wa mume pia ni hivyohivyo..hapa ugomvi wa kifamilia upo mkubwa
Siyo tatizo maadam uislam unasolve tatizo popote pale. Ila inaonesha ngazi ya familia za pande zote mbili haijaanzwa kabla ya jambo hilo kufikishwa kwa kadhi/mahkama. Kwa maana mwanamke hajivui tu hyo ndoa mwenyewe tu bila consensus na angalau ndugu/wasuluhishi wa pande mbili.
 
Kwasabu wamekosana wametengana kwa miaka miwili kila mtu ana maisha yake mwanaume hamtaki tena mwanamke
Wametengana au amehamia kwa mke mdogo?Huyo mwanamke mwingine ni mkewe ama sio mkewe?Inavyoonekana huyo bi shosti anayedai talaka ana kautata fulani na mmewe kamletea bi mdogo ili atulizwe.
 
Ukweli ni kuwa sisi kama familia ya mke hatumtaki kabisa huyu mwaume kwahiyo kusema kusuluhishwa itakua vigumu na upande wa mume pia ni hivyohivyo..hapa ugomvi wa kifamilia upo mkubwa
Yes, ndo mlifikishe jambo hilo kwa kadhi, yeye atalimaliza kisharia
 
Ukweli ni kuwa sisi kama familia ya mke hatumtaki kabisa huyu mwaume kwahiyo kusema kusuluhishwa itakua vigumu na upande wa mume pia ni hivyohivyo..hapa ugomvi wa kifamilia upo mkubwa
Halaf kusuluhisha ni kufikia utatuzi wa jambo baina ya pande angalau mbili na haimaanishi kupatanisha.

Nakusudi mwisho wa mchakato kila mwenza afaham kuwa ndoa imetamatika.
 
Jino kwa nini
Mwaga mboga namwaga ugali
Weka ugoko naweka jiwe
Tafadhali naomba kueleweshwa hasa ni sababu gani zinasababisha mwanaume hususani wale wa kiislam kukataa kutoa talaka?

Nina ndugu yangu huu ni mwaka wa pili mwanaume hataki kumpa talaka na hamhudumii kwa chochote pamoja na kuwa amemuachia mtoto ila kuna siku huyo mwanaume huibuka kutaka amsalimie mtoto lakin akiambiwa matumizi hatoi.

Ila huyo mwanaume tayari anakaa na mwanamke mwingine na wameshazaa mtoto mmoja.
Sasa haelewi sababu iko wapi talaka hatoi?

Na huyu mwanamke akimpigia simu mwanaume hapokei ila yeye anataka ndiyo siku akijisikia anapiga na simu yake ipokelewe
 
wakati mwengine mnaweza kufikiri mtu akikataa kutoa talaka ni kwa ajili ya kukomoa..tambueni ndoa ni kitu kengine kabisa na sio kitu cha mchezo...kuto kuelewa na sio sababu ya kukatisha ndoa. ila ikishindikaa kabisa ni mahakama pekee itatoa talaka kwa hiyo bi dada aende tu mahakamani talaka itatoka iwe bwana hataki au anataka...ila awe na huo huo msimamo wa kuachana ila awe na sababu ya msingi tu.
mkuu kesi ni pesa na muda na janjajanja wanawake wengi hawana uwezo tulionao wanaume

talaka ni maelewano tuu lakini akikurupuka mtu anaweza kukosa au kuipata baada ya muda mrefu tuu


*anyways mi ni mtu naeamini kunamuda mapenzi huisha!!!
 
Back
Top Bottom