goukun wadey
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 241
- 284
Nakumbuka usafi wa Jumamosi ulivyozingatiwa lakini huu wa makondakta na daladala zao.
Unaamka asubuhi ukiwa upo smart ila unawaza ukifika kwenye daladala hadi ushuke hali itakuwaje! Viti ni vichafu, sare za makondakta ni chafu, dereva ni mchafu na sare yake ni chafu. Ukitaka uone mashindano ya CHAFYA duniani basi ingia kwa Daladala utafurahi kama sio huzuni. Kwanini?
Pia soma: Makondakta wameiga kutoka wapi uchafu?