kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,920
Sio kivuko icho hilo ni kalavati la tazara.Hata kivuko cha Tazara kinaitwa Flyover
Sio kivuko icho hilo ni kalavati la tazara.Hata kivuko cha Tazara kinaitwa Flyover
What about quality? Na yenyewe ni bora kuliko ya wakenya?SGRs zina speed tofauti na hilo kila mtu mfuatiliaji analijua. Haijawahi kusemwa kama Tanzania ni ya kwanza kuwa na SGR. Wengi tunajua Kenya ndio iliyoanzisha, Tanzania tukaduatia. Lakini uzuri, treni zetu itakuwa na kasi kuzidi za Kenya. SGR yetu ni pana kuliko ya Kenya, ina urefu mkubwa zaidi na ya Kenya na imetumia gharama ndogo kuliko ya Kenya.
Ahsante kwa kunikumbusha; ya kwetu ni bora kuliko ya Kenya. Swali jingine?What about quality? Na yenyewe ni bora kuliko ya wakenya?
Kwenye ubora umeangalia vitu gani?Ahsante kwa kunikumbusha; ya kwetu ni bora kuliko ya Kenya. Swali jingine?
Vingi tu. Materials qualities, time factor, engineers and fundis, so on and so forth!Kwenye ubora umeangalia vitu gani?
Mh! Ulinganifu uko wapi?Vingi tu. Materials qualities, time factor, engineers and fundis, so on and so forth!
Hilo haliwezekani hata kwa dawa kwa ujenzi unavyoendelea labda itakamilika 2020 mwishoniMkandarasi wa SGR yetu Yapi Merkezi mkataba wake ulitakiwa kumalizika mwanzoni mwa mwezi Novemba yaani mwezi ujao. Pia tulitangaziwa kuwa treni ya mwendo kasi itaanza kwenda Moro mwishoni mwa mwaka huu. Lakini ukiangalia mwenendo wa ujenzi sidhani kama hilo linawezekana
Ukiangalia treni za kenya hazina tofauti sana na treni zetu za TAZARA 😂😂😂What about quality? Na yenyewe ni bora kuliko ya wakenya?
Nini maana ya flyover?Sifa za kitu kuitwa flyover ni zipi?Ukijibu haya najiondoa JF.Hata kivuko cha Tazara kinaitwa Flyover
Mkandarasi wa SGR yetu Yapi Merkezi mkataba wake ulitakiwa kumalizika mwanzoni mwa mwezi Novemba yaani mwezi ujao. Pia tulitangaziwa kuwa treni ya mwendo kasi itaanza kwenda Moro mwishoni mwa mwaka huu. Lakini ukiangalia mwenendo wa ujenzi sidhani kama hilo linawezekana
kufly ni kufly tu haijalishi umefly sana au kidogo...Duuuh hivi kile kivuko kikiitwa "Fly-over" zile za Nairobi - Thika road au zile za Jo'burg kuanzia OR-Tambo IA na kutapakaa kote kote ziitweje??
Na hii ya Morogoro tunayodai ni mwendokasi, inaenda Speed ya 75 mph. Kwanini twadanganya na ili iweje?
uko uzi ule unaozungumzia hili ulianzishwa na erythrocyte hebu nenda kwenye jukwaa la hoja mchanganyikoNini maana ya flyover?Sifa za kitu kuitwa flyover ni zipi?Ukijibu haya najiondoa JF.
SGR ya Kenya inatumia Mafuta only wakati SGR ya Tanzania itakuwa inatumia Umeme kwa kias kikubwa na mafuta kwa emergence tuHeshima kwenu wakuu,
Kwanini hawa jamaa wanatudanganya SGR ni mwendo kasi wa treni? Inamaana hawajui SGR ni mwendo wa kawaida?
Kwanini wanatudanganya sisi watanzania wanyonge?
Duniani ni treni ya Shanghai Maglev peke ndo ya mwendo kasi wa speed ya 267.8 mph. Na hii ya Morogoro tunayodai ni mwendokasi, inaenda Speed ya 75 mph. Kwanini twadanganya na ili iweje?
Kwanini wanatudanganya eti Afrika Mashariki, Tanzania ndo nchi ya kwanza kuwa na reli ya SGR?
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta leo jumatano alizindua rasmi awamu ya 2A ya reli ya kisasa (SGR) kutoka Nairobi hadi Naivasha.
Shughuli kuu ya uzinduzi ilifanyika katika kituo cha SGR cha katika eneo la Mai Mahiu.
Aidha huduma ya treni ya kubeba abiria itaanza rasmi kesho alhamisi huku ile ya uchukuzi wa mizigo ikianza baada ya miezi kadhaa ijayo wakati Tanzania bado inapambana na wapinzani wa kisiasa na kuwaweka korokoroni.
Watanzania wanazunguka nchi nzima kutangaza wanajenga SGR wakati Kenya wao wanazindua kimya kimya.
Ni wakati wa vitendo si maneno. Kenya wapo juu.
SGR ni Standard Gauge Railway. Sio High Speed Gauge Railway. Tuweni makini tunapoongea na wanyonge wa nchi hii.
Bado yupo mpaka 2021 yeye ndo anayejenga phase II mpaka Makutupora