Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,551
- 10,798
Mafuta yanapotoka huko chini yanaacha nafasi. Ardhi iliyopo juu yake haiwezi kuzama chini? Kwanini miaka mingi hili halijawahi kutokea?
Nafunga uziKuna miamba mikubwa na migumu sana huko chini sisi uzito wetu ni kama unyoya tu
Sijakuelewa, miamba inaelea juu ya hewa? Ukichimba chini ya nyumba yako ukabakisha uwazi haita collapse?Kuna miamba mikubwa na migumu sana huko chini sisi uzito wetu ni kama unyoya tu
Chukua nazi uitoboe kwa drillbit halafu nyonya yale maji yake yote je ukibonyeza itabonyea ?Sijakuelewa, miamba inaelea juu ya hewa? Ukichimba chini ya nyumba yako ukabakisha uwazi haita collapse?
Kwahiyo dunia ni kama kiti juu ya ardhi? Dunia imekaa juu ya nini?Mzee chukulia mfano kiti unachokalia chenye miguu minne, kwa nini hakicollapse akati chini kuna uwazi? Au unakalia matofali?