Hiki ni kisingizio tu cha kuficha uvivu na uzwazwa wenu wasomi. Bakhresa amesoma hayo madude ?? Kalagabaho!Sasa mnasema tujiajir Hatujasomea hizo INTERPRINEURSHIP bana wapo wenye fani zao
Kama wewe nawe ni msomi na una mawazo ya kizembe kama haya basi taifa limepata hasara. Aliyekuambia MTU akisoma basi hapaswi kulima ni nani? Kwa akili yako hii utasugua masufuria kwa shemeji yako mpk uzeeke.na kwanza kuna haja gani ya mtu kusoma sheria kwa miaka 18 halafu leo hii aende akajiajiri shambani ambako hakuna uhusiano wowote na taaluma yake ya sheria?
Kama wewe nawe ni msomi na una mawazo ya kizembe kama haya basi taifa limepata hasara. Aliyekuambia MTU akisoma basi hapaswi kulima ni nani? Kwa akili yako hii utasugua masufuria kwa shemeji yako mpk uzeeke.
Hivi wewe ulisoma ama umehudhuria darasami tu? Sheria haihitajiki kwenye kilimo? Historia, sayansi ya siasa, ustawi was jamii havihitajiki kwenye kilimo?niende kutumia elimu yangu mahali isikohitajika hata kidogo?
Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Hivi wewe ulisoma ama umehudhuria darasami tu? Sheria haihitajiki kwenye kilimo? Historia, sayansi ya siasa, ustawi was jamii havihitajiki kwenye kilimo?
Elimu yoyote ile lengo lake ni kumjengea uwezo mwanadamu kuzikabili changamoto zinazomzunguka ktk mazingira take. Sasa kama wewe umesoma halafu unalilia ajira basi hujaelimika.
Ni wajibu wa serikali kuhakikisha kila amaemaliza chuo anapata ajira.....kujiajiri ni utashi wa mtu....ndo maana unaona nchi zilizoendelea zinakua na statistics za employment!
Pamoja na yotee uliyoyasema athari ya hayo haikuwa hivi kipindi cha Mkapa na Kikwete huyu alienda mbali zaidi kwa kutoa wafanyakazi hewa na wa vyeti feki na bado anawatupa wasomi wengi mtaani.Tatizo la Ajira nchini Tanzania ni Mtambuka sana Mkuu ambapo Wazazi wana lawama zao, Shule na Taasisi za Elimu zina lawama zao, Serikali kupitia Wizara husika na Waziri husika wana lawama zao na Wanafunzi wenyewe nao wana lawama zao vile vile na tena huenda Wanafunzi ndiyo wakabeba lawama nyingi katika hawa Wahusika wote hapa.
Wazazi wengi wanawalazimisha Watoto Wao Kuchukua Kozi wasizoziweza hatimaye wanakwamisha Ndoto zao Kitaaluma.
Shule na Taasisi za Elimu nchini haziwaandai Wanafunzi kuja Kujiajiri wenyewe na Kutengeneza Mitaala ambavyo itakuwa inaakisi Soko la Ajira kwa sasa duniani na badala yake Elimu ya Tanzania bado imekuwa ni ile ile aliyotuachia Mkoloni.
Serikali na Wizara husika hazijatambua kuwa dawa pekee ya Kumaliza hili tatizo ni Kwanza kubadili Sera zake hasa katika Mashirika na Makampuni huku zikiwataka Taasisi za Kbenki nchini kuwa wanatoa Mikopo ya Riba nafuu kwa Vikundi mbalimbali vya Wahitimu ili wakimaliza tu Masomo yao wawaze Kujiajiri na siyo Kuzunguka hovyo Mitaani na Bahasha za Kaki pekee. Kipengele cha Uzoefu kiondolewe kwani Mtu Uzoefu haupatii akiwa Jobless bali akiwa Kazini kutoka kwa Wakongwe aliowakuta na ambao wanatarajia Kustaafu.
Wanafunzi wengi wa sasa wa Tanzania hawajui wanataka nini, hawajitambui kabisa na wengi Wao wanasoma kwa Mkumbo na siyo Kusoma ili waje kuwa Tegemeo. Kama Mwanafunzi wa Kidato cha Nne au Sita unamuuliza anataka kuja nani baadae anakujibu hajui au anakutaka Wewe uliyemuuliza hilo Swali umtathmini alivyo kisha umfanyie Kazi ya Marehemu Sheikh Yahya umtabirie asomee nini hapo hakuna tatizo? Wanafunzi wengi ni Wavivu na hawapendi Kujiimarisha Kimaarifa ili waje kuwa Wanataaluma wazuri kwa baadae.
Yangu ni haya tu Mkuu.
Hivi unajua kuwa kilimo kinahitaji mtaji mkubwa sana.Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Je tulishawahi kuwekeza kwenye hilo eneo? Au mawazo yetu yote yako kwenye siasa?Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,
Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe
Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani
Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..
Akili yako haiko sawa, sorryWasomi wa Miaka hii Aibu Tupu...
Mtu unakaa na akili zako Huoni Aibu unalalamika Ajira Hakuna hahahaaa
Sasa Kama ww na usomi wako unalalamika Ajira Hakuna Je yule Aliyeishia La Saba atafanyaje...
Na usomi wako unashindwa Hata kulima bustani ya mchicha mtaji ni 20,000/-
Na usomi w@ko unashindwa Kulima Hata nyanya Kwa greenhouse Mtaji wa Laki Moja?
Ila umekaa nyumbani tu kwa baba unalalamika tu hakuna ajira
Sema kwamba ww unasubiri ajira za serikali na wala hushughuliki na Ajira binafsi na Kijiajiri
Pole Sana...
Hakuna serikali ya Namna hiyo Duniani ikawa na uwezo wa Kuajiri wananchi wake wote wanaotaka ajira
Hivi wewe ulisoma ama umehudhuria darasami tu? Sheria haihitajiki kwenye kilimo? Historia, sayansi ya siasa, ustawi was jamii havihitajiki kwenye kilimo?
Elimu yoyote ile lengo lake ni kumjengea uwezo mwanadamu kuzikabili changamoto zinazomzunguka ktk mazingira take. Sasa kama wewe umesoma halafu unalilia ajira basi hujaelimika.
Nitaendelea kuku-quote **** wewe. Maana yaelekea na wewe unajiita msomi wakati hujaelimika. Yaani unaona ajabu MTU kumaliza chuo na kwenda kujiajiri kwenye kilimo?!!! Utaendelea kula kwa shemeji yako mpk uzeekeKwamba mtu asome sheria au utawala wa uma halafu akimaliza hapo aelekee moja kwa moja kulima viazi? hatumie taaluma ya utawala wa uma kukabiliana na changamoto za kilimo cha viazi?
Punguani kabisa wewe. tena usini quote tena
Kama wewe nawe ni msomi na una mawazo ya kizembe kama haya basi taifa limepata hasara. Aliyekuambia MTU akisoma basi hapaswi kulima ni nani? Kwa akili yako hii utasugua masufuria kwa shemeji yako mpk uzeeke.
wewe unalima wapi?Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Mkuu ebu ongea kwa ustaarabu..kilimo sio rahisi kama unavyosema..changamoto ni nyingi sana.Wasomi wa Miaka hii Aibu Tupu...
Mtu unakaa na akili zako Huoni Aibu unalalamika Ajira Hakuna hahahaaa
Sasa Kama ww na usomi wako unalalamika Ajira Hakuna Je yule Aliyeishia La Saba atafanyaje...
Na usomi wako unashindwa Hata kulima bustani ya mchicha mtaji ni 20,000/-
Na usomi w@ko unashindwa Kulima Hata nyanya Kwa greenhouse Mtaji wa Laki Moja?
Ila umekaa nyumbani tu kwa baba unalalamika tu hakuna ajira
Sema kwamba ww unasubiri ajira za serikali na wala hushughuliki na Ajira binafsi na Kijiajiri
Pole Sana...
Hakuna serikali ya Namna hiyo Duniani ikawa na uwezo wa Kuajiri wananchi wake wote wanaotaka ajira