Kwanini ajira hakuna?

Kwanini ajira hakuna?

el pincaso

Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
67
Reaction score
55
Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,

Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe


Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani




Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..
 
Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,

Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe


Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani




Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..
Tatizo vijana wengi wanaomaliza hawawazi nje box, kazi wanataka za ofisini kisa mtu ana degree... Chengine JKT hai ajiri wanasisitiza kila siku wale jamaa wa JWTZ kwenye Media....... Cjui tunafeli wapi kutafuta uelewa wa mambo
 
Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,

Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe


Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani




Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..

Tatizo la Ajira nchini Tanzania ni Mtambuka sana Mkuu ambapo Wazazi wana lawama zao, Shule na Taasisi za Elimu zina lawama zao, Serikali kupitia Wizara husika na Waziri husika wana lawama zao na Wanafunzi wenyewe nao wana lawama zao vile vile na tena huenda Wanafunzi ndiyo wakabeba lawama nyingi katika hawa Wahusika wote hapa.

Wazazi wengi wanawalazimisha Watoto Wao Kuchukua Kozi wasizoziweza hatimaye wanakwamisha Ndoto zao Kitaaluma.

Shule na Taasisi za Elimu nchini haziwaandai Wanafunzi kuja Kujiajiri wenyewe na Kutengeneza Mitaala ambavyo itakuwa inaakisi Soko la Ajira kwa sasa duniani na badala yake Elimu ya Tanzania bado imekuwa ni ile ile aliyotuachia Mkoloni.

Serikali na Wizara husika hazijatambua kuwa dawa pekee ya Kumaliza hili tatizo ni Kwanza kubadili Sera zake hasa katika Mashirika na Makampuni huku zikiwataka Taasisi za Kbenki nchini kuwa wanatoa Mikopo ya Riba nafuu kwa Vikundi mbalimbali vya Wahitimu ili wakimaliza tu Masomo yao wawaze Kujiajiri na siyo Kuzunguka hovyo Mitaani na Bahasha za Kaki pekee. Kipengele cha Uzoefu kiondolewe kwani Mtu Uzoefu haupatii akiwa Jobless bali akiwa Kazini kutoka kwa Wakongwe aliowakuta na ambao wanatarajia Kustaafu.

Wanafunzi wengi wa sasa wa Tanzania hawajui wanataka nini, hawajitambui kabisa na wengi Wao wanasoma kwa Mkumbo na siyo Kusoma ili waje kuwa Tegemeo. Kama Mwanafunzi wa Kidato cha Nne au Sita unamuuliza anataka kuja nani baadae anakujibu hajui au anakutaka Wewe uliyemuuliza hilo Swali umtathmini alivyo kisha umfanyie Kazi ya Marehemu Sheikh Yahya umtabirie asomee nini hapo hakuna tatizo? Wanafunzi wengi ni Wavivu na hawapendi Kujiimarisha Kimaarifa ili waje kuwa Wanataaluma wazuri kwa baadae.

Yangu ni haya tu Mkuu.
 
Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,

Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe


Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani




Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..

Hakuna hela za kulipa mishahara, Waajiri wengi wanataka kupunguza gharama za uendeshaji. POLE SANA
 
Kuna mbwa wachache wanao kula na kusaza kwa kutumia kodi zetu. Hawa wanaona ukosefu waajira kama ni tatizo la kujitakia.Wataanza kukuambia habari za ukalime ili kujiaajiri na wanaongea hivyo wakati wao hawana hata bustani.Wanasahau hata nchi zilizoendelea kama Marekani,France,Britain nk zinatoa mafunzo ya kujiajiri kwa vijana wao wanapokua masomoni lakini hiyo haitoshi pia wale vijana wanapomaliza masomo husidiwa ajira au fedha za mitaji ili kujiajiri; kumbukeni tatizo la ajira lilivyo kiua wakati Barrack Obama anaingia madarakani mliona jinsi alivyo toa ajira nyingi badala ya kutoa kejeli kwamba wakalime.sio jambo la maana sana nchi kusomesha watubwake wengi kisha iwaambie wakalime, hivyo tunajitengenezea bomu litakalolipuka siku za baadae💥💀💀
 
Na bado wazungu wanaunda system s ili kuchukua majukumu ya kibinadamu ..endelea kusubiri huenda mkaajiriwa wote
 
Mshamba na limbukeni haelewi taarifa kidogo tu kuwa kila mwaka kuna watumishi wana kufa na kustaafu ,mapengo yanatakiwa kuzibwa lakini limbukeni haelewi jambo dogo tu kama hili ,nitakupa mfano rekodi ya chama cha walimu inaonyesha kuwa wslimu 7000 hufariki kila mwaka ,jumlisha wanaostaafu,kwa muda wa miaka minne jumlisha vyeti feki ,hapo ndio utaelewa limbukeni ni kichwa maji .
 
Kwasababu uchumi unakuwa kwa kasi, kwani uchumi unakwa kwa asilimia 5.2 wakati watangukizi ulikuwa kwa 7.1%

Kwasababu tunataka maendeleo ya vitu sio watu

Kwasababu tunarudia uhakiki wa wafanya kazi hewa.

Kwasababu tunataka mkalime na atakaebaki dar hadi July yeye ni mwanaume


Hatutaki mabadiliko ya kidemokrasia znz kama kwa mzee mugabe wa zmbbw.hivyo tuko tayari kukasa misaada na ruzuku. Hivyo wahisani wametimka
 
Tuna rais wa ajabu haijawahi kutokea... Halafu ni muongo hiiii! Nikikumbuka ahadi ya kuhakiki wafanyakazi hewa halafu angetoa ajira namuonaga kama mchawi'wa maisha ya wtanzania

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka Leo vijana wengi wako mitaani na degree zao ,hakuna ajira waalimu hawapandishwi madaraja,

Vijana wa kitanzania leo hii wanaenda jkt kufundishwa ukakamavu..s kwel watu wanaenda kutafuta ajira bt wanakalishwa miaka halafu leo hii wanarudishwa mitaan je wafanye nini huku au mnataka watukabe


Wahitimu wa chuo leo hii hawana thaman..wimbi kuubwa la waalimu wa michepuo ya sanaa hawapew ajira na hata zkitangazwa sijui wanapewa akina nani




Ndugu zangu am not happy cuz ama victim of this chain..
Swala hili watatuzi Ni sisi binafsi. Tumejaliwa ubinafsi uliotukuka na uogakatika kufanya maamuzi. Mtu binafsi anaweza kuwa na mawazo chanya ya project mbalimbali lakini ni mgumu kushare na mwenzake.
Mfano unaweza ukawa na project nzuri tu ambyao ukashare na mwenzako mka invest. Kupitia hiyo ukawakwamua na wenzako kadhaa regardless viwango vya malipo mtakayo anza nayo. Through this tatizo la ajira linaweza pata unafuu.
Serikali Ni kikwazo Cha pili .
(Mawazo yangu tu)
 
Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Linaongea liko kwenye ajira bosi katoka ndo limeshika simu. Jitu kama hili likifutwa kazi utalionea huruma bora hata wale waliozoea kitaa bila ajira.
 
Kwani ukiwa na degree lazima upewe ajira? Acheni ujinga ninyi wasomi, ajira za kupewa hakuna duniani kote. Nendeni mashambani mkajiajiri kwa kulima.
Well said mentality hii wengu watapinga lakin ndo uhalisia ulioko
 
Back
Top Bottom