Kwanini Afrika ni bara masikini na lisiloendelea?

Apo ni uzalendo tu kwa viongozi wetu afrika kama nchi zote viongozi watakuwa namsimamo kama JPM itasaidia sana
Unamaanisha nini kusema uzalendo?
Na how uzalendo utaleta maendeleo?
 
Yeyote mwenye mawazo tofauti na mimi?
Maana wote kama mnakubaliana na nilichoandika 100% ni sahihi.

Leteni mawazo yenu wana JF.
 
Kwa kweli Wakoloni wafanye mpango wa kurudi Africa. Hatuwezi kujiongoza, hatuwezi kujitawala, hatuwezi kuchaguana, tunauana, tunatafuna mali za umma na misaada, hatuwezi lolote. Hatuwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…