Kwanini ACT wanapambana kutetea NSSF?

Kwanini ACT wanapambana kutetea NSSF?

Pengine zile Saccos zilizokuwa zinachota hela za NSSF zina uhusiano na ACT? Ulishamsikia Zitto wakati akiwa mwenyekiti wa PAC anasema chochote kuhusu au hata makontena yalivyokuwa yanapotea bandarini licha ya kwamba mashirika hayo yalikuwa chini ya Kamati yake?
 
Dr Dau alikuwa ndie mdhamini Mkuu wa ACT
Nikiangalia hizo comment zenu nagundua ni walewale mpinga zzk,hii kazi sijui mnalipwa ujira kiasi gani,hamkuianza leo,bahati mbaya yenu wenye akili kubwa wanazidi kumuelewa.
Zito ni kama vile alikuwa analipwa na Dr Dau

Pengine zile Saccos zilizokuwa zinachota hela za NSSF zina uhusiano na ACT? Ulishamsikia Zitto wakati akiwa mwenyekiti wa PAC anasema chochote kuhusu au hata makontena yalivyokuwa yanapotea bandarini licha ya kwamba mashirika hayo yalikuwa chini ya Kamati yake?
 
Nikiangalia hizo comment zenu nagundua ni walewale mpinga zzk,hii kazi sijui mnalipwa ujira kiasi gani,hamkuianza leo,bahati mbaya yenu wenye akili kubwa wanazidi kumuelewa.

Soma Jamvi la habari gazeti la zito uone jinsi linavyo mpigania Dr Dau sio hivi hivi bro.
 
Back
Top Bottom