Kwa siku mbili mfululizo wanaharakati wa ACT wanapambana vikali kujibu mapigo dhidi ya hoja zinazosambaa kwa kasi kuhusu ufisadi wa NSSF. kinachoshangaza, pamoja na magazeti kuandika na Mwenyekiti wa bodi ya NSSF kutamka wazi mbele ya kamati ya PAC kuwa mradi wa kununua viwanja Kigambon ulingiwa kifisadi, bado ACT wamendelea kupambana kupinga kuwa hakuna ufisadi wowote.
Je sababu ni nini? ACT ina maslahi gani NSSF? au kwasababu Kiongozi mkuu alikuwa Mwenyekiti wa PAC wakati dili hizi zinapigwa? . nawaza tu maana ACT inapambana kwenye NSSF kiliko hata CCM na serikali yake
Je sababu ni nini? ACT ina maslahi gani NSSF? au kwasababu Kiongozi mkuu alikuwa Mwenyekiti wa PAC wakati dili hizi zinapigwa? . nawaza tu maana ACT inapambana kwenye NSSF kiliko hata CCM na serikali yake