Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Jamani kwani kuwa raisi lazima uwe na madigrii mangapi? Mi nataka kwa raisi bana huitaji kuwa msomi sana busara inatosha! Niungeni mkono 2015! Kura za JF tu peke yake zinatosha kuniingiza pale magogoni.