Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Hivi mtoa mada ni wewe!! Tatizo una fujo sana,, kunywa maji tu mdogo wangulaleki...
kwahiyo nianze kunywa choda et..?
Hivi mtoa mada ni wewe!! Tatizo una fujo sana,, kunywa maji tu mdogo wangulaleki...
kwahiyo nianze kunywa choda et..?
afadhali umenianza mana viburi vilikua online ilihali tumemisiana😂Mchumba
Yai bovu?Kajaribu utajua ni viza au ni zima
Yani unitoe nje?nataka leo nikutoe out vipi upo tayari..?
Akikupigishe kasusu halafu kifuatacho ITV IsidingoYani unitoe nje?
😂😂😂😂 Sipo hivoafadhali umenianza mana viburi vilikua online ilihali tumemisiana😂
Hakika nimeona 😂😂😂😂😂😂 Sipo hivo
0-10Akikupigishe kasusu halafu kifuatacho ITV Isidingo
Kwani we hauogopi?0-10
Nakunywa pombe nilewe sababu ni ww silewi zinanipalia🎶🎶 siku nikifikia hiyo hatua wanitupe mto Ruvu/Wami/Kagera mamba wapate chakulaHakika nimeona 😂😂
Sasa bruh kwann unywe mpk kupigana ?? Daah inabidi upunguze 🍺🍺nakunywa choda!
Bruh nii adjeeNakunywa pombe nilewe sababu ni ww silewi zinanipalia🎶🎶 siku nikifikia hiyo hatua wanitupe mto Ruvu/Wami/Kagera mamba wapate chakula
Cc: Manyanza
Shwari kaka! Unapotea sana mwenetuBruh nii adjee
Nipo mshua vp kwako hrkt nii adjee arifuShwari kaka! Unapotea sana mwenetu