IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Juzi nilitembelea Dodoma na Bahati nzuri nikbahatika Kukutana na Mafundi Mitambo ya Umeme Na Sauti wa Bunge...Nilistuka nilipoambia ati Siku ile Tundu Lisu anaongelea Watawala Kuingilia Uhuru wa Mahakama,Kiongozi Mmoja wa CCM aliwafuata Mafundi Baadae nba Kuwapa Onyo Kali kwamba Walitakiwa Kukata Sauti na Umeme wakati 'Kiongozi wa Upinzani akiongea" na Wakapewa Onyo kuwa Siku nyingine wakifanya Kosa 'Watakiona''.
Hapa na pata Maswali kuwa Hivi Viongozi wa CCM pekee ndiyo wana HOJA Nzuri? Ndiyo wenye Akili za Kufikiri Peke yao?
Hapa na pata Maswali kuwa Hivi Viongozi wa CCM pekee ndiyo wana HOJA Nzuri? Ndiyo wenye Akili za Kufikiri Peke yao?