Kwani Viongozi Wenye Akili Nzuri wako CCM Pekee?

IsangulaKG

JF-Expert Member
Oct 14, 2010
706
386
Juzi nilitembelea Dodoma na Bahati nzuri nikbahatika Kukutana na Mafundi Mitambo ya Umeme Na Sauti wa Bunge...Nilistuka nilipoambia ati Siku ile Tundu Lisu anaongelea Watawala Kuingilia Uhuru wa Mahakama,Kiongozi Mmoja wa CCM aliwafuata Mafundi Baadae nba Kuwapa Onyo Kali kwamba Walitakiwa Kukata Sauti na Umeme wakati 'Kiongozi wa Upinzani akiongea" na Wakapewa Onyo kuwa Siku nyingine wakifanya Kosa 'Watakiona''.
Hapa na pata Maswali kuwa Hivi Viongozi wa CCM pekee ndiyo wana HOJA Nzuri? Ndiyo wenye Akili za Kufikiri Peke yao?
 
juzi nilitembelea dodoma na bahati nzuri nikbahatika kukutana na mafundi mitambo ya umeme na sauti wa bunge...nilistuka nilipoambia ati siku ile tundu lisu anaongelea watawala kuingilia uhuru wa mahakama,kiongozi mmoja wa ccm aliwafuata mafundi baadae nba kuwapa onyo kali kwamba walitakiwa kukata sauti na umeme wakati 'kiongozi wa upinzani akiongea" na wakapewa onyo kuwa siku nyingine wakifanya kosa 'watakiona''.
Hapa na pata maswali kuwa hivi viongozi wa ccm pekee ndiyo wana hoja nzuri? Ndiyo wenye akili za kufikiri peke yao?

bunge ni taasisi nyeti, tuletee ushahidi badala ya kubwabwaja
 
Juzi nilitembelea Dodoma na Bahati nzuri nikbahatika Kukutana na Mafundi Mitambo ya Umeme Na Sauti wa Bunge...Nilistuka nilipoambia ati Siku ile Tundu Lisu anaongelea Watawala Kuingilia Uhuru wa Mahakama,Kiongozi Mmoja wa CCM aliwafuata Mafundi Baadae nba Kuwapa Onyo Kali kwamba Walitakiwa Kukata Sauti na Umeme wakati 'Kiongozi wa Upinzani akiongea" na Wakapewa Onyo kuwa Siku nyingine wakifanya Kosa 'Watakiona''.
Hapa na pata Maswali kuwa Hivi Viongozi wa CCM pekee ndiyo wana HOJA Nzuri? Ndiyo wenye Akili za Kufikiri Peke yao?
Akili gani hizo za kuwaamru mafundi wakate umeme, mbona zinafanana na matope?
 
Nani kakwambia CCM wanaakili hebu fikiria mwenyekiti wao anaulizwa BBC kwanini TANZANIA ni masikini anajibu eti HAJUI,Membe naye ati kwa sababu tulipigana vita nyingi kuzikomboa nchi za Afrika kupata uhuru na Mkapa naye ati kwa sababu ya ukoloni.Miaka 50 baada ya ukoloni unasema ndio chanzo cha umasikini kama wana akili kwa nini wanakimbia midahalo MBONA RWANDA WAMETOKA VITANI LEO MIAKA 17 WAMETUZIDI yaani wanakera hawa"KAMA KWELI KUNA KIONGOZI WA CCM MWENYE AKILI HATA MMOJA MTAJE TUKWAMBIE UJINGA WAKE"
 
Rafiki usilete tetesi kesho utaleta uvumi wana jamii tunafanyia kazi taarifa rasmi(facts) tupo kazini kuelimisha umma aiseeeee weweeee,,,,,,,, usijali lakini
 
someni hoja ya Mtulutumbi mpaka mwisho ndiyo mchangie. Anajiliza je kuwambia mafudi wakate mitambo, Lisu akiongea ndo kusema anachoongea ni pumba? Ila akiongea wa chama cha magamba ni mchele wasikate mitambo!!!

Nadhani mtoa hoja anautani na wanamagamba wazee wakuunga mkono hoja 100/100.
 
Rafiki usilete tetesi kesho utaleta uvumi wana jamii tunafanyia kazi taarifa rasmi(facts) tupo kazini kuelimisha umma aiseeeee weweeee,,,,,,,, usijali lakini

Ni tetesi kwa maana ya Kwamba hakuna Writen Evidence lakini Ukizxingatia UKWELI...huu Siyo Uongo ni Ukweli Kabisa kwani ni taarifa zinazoweza Kuthibitishwa na Mafundi Mitambo wa Bunge
 
Juzi nilitembelea Dodoma na Bahati nzuri nikbahatika Kukutana na Mafundi Mitambo ya Umeme Na Sauti wa Bunge...Nilistuka nilipoambia ati Siku ile Tundu Lisu anaongelea Watawala Kuingilia Uhuru wa Mahakama,Kiongozi Mmoja wa CCM aliwafuata Mafundi Baadae nba Kuwapa Onyo Kali kwamba Walitakiwa Kukata Sauti na Umeme wakati 'Kiongozi wa Upinzani akiongea" na Wakapewa Onyo kuwa Siku nyingine wakifanya Kosa 'Watakiona''.
Hapa na pata Maswali kuwa Hivi Viongozi wa CCM pekee ndiyo wana HOJA Nzuri? Ndiyo wenye Akili za Kufikiri Peke yao?

Heading ya mwanahalisi kesho ' JF yageuka kijiwe, yapoteza mwelekeo. Wanachama wake wakosa hoja, wajadili mambo ya tetesi'
 
Juzi nilitembelea Dodoma na Bahati nzuri nikbahatika Kukutana na Mafundi Mitambo ya Umeme Na Sauti wa Bunge...Nilistuka nilipoambia ati Siku ile Tundu Lisu anaongelea Watawala Kuingilia Uhuru wa Mahakama,Kiongozi Mmoja wa CCM aliwafuata Mafundi Baadae nba Kuwapa Onyo Kali kwamba Walitakiwa Kukata Sauti na Umeme wakati 'Kiongozi wa Upinzani akiongea" na Wakapewa Onyo kuwa Siku nyingine wakifanya Kosa 'Watakiona''.
Hapa na pata Maswali kuwa Hivi Viongozi wa CCM pekee ndiyo wana HOJA Nzuri? Ndiyo wenye Akili za Kufikiri Peke yao?

tunashukuru kwa post lakini ni vema ungeweka mawazo yako uzuri ili ueleweke pia kama waliweza kukukuza hao matechnician kwanini wasinge kupa na jina la huyo jamaa wa ccm tumdiscus hapa asirudie tena'?
 
CCM kwa hali waliyonayo sasa hivi ninaamini wanaweza kufanya hivyo. Wao wamezoea kuficha ficha kila kitu kama mtu mchoyo na ndio maana vijana tusipokuwa wakali na kubadilisha huu upepo uliopo, hii Tanzania yetu tunayoipenda kuliko CCM haitaendelea, CCM wataendelea kutuletea zidumu fikra za mwenyekiti wakati zimshadumu miaka 50. Kila kitu cha wananchi watasema ni vya kwao na sio ajabu bunge linapo kwisha kila mbunge wa CCM anaondoka na kitu kimoja kupeleka nyumbani kwao na asubuhi vinafungwa tena. Mmoja anaondoka na maic-, mwingine speaker, mwingine waya nk. Lengo ni ili Makamanda wasitumie eti mali za CCM. Na ndio maana tunapiga vita ubinafsi na kurithishana mali za serikali. We ukiona mpaka vijana wa CCM wanapigania viwanja huko moshi ambavyo ni mali ya wananchi mnatambua hapo kuna nini? Inamaana walisha achiwa uridhi sisi tunarithi umasikini wa baba zetu. Vijana tunasema ni afadhali kurithi umasikini tuikomboe TZ yetu kuliko kurithi T-Shirt, kofia, kanga na scaff zenye nembo ya kijiko na umma. :israel:
 
Heading ya mwanahalisi kesho ' JF yageuka kijiwe, yapoteza mwelekeo. Wanachama wake wakosa hoja, wajadili mambo ya tetesi'

Kwani ni lini ILIKUWA NAOJA?
au ndio nia yenu ya kuja kumwaga upupu humu ili JF ionekane ni KIJIWE?
Waje basi watukamate huku JF tunavuta unga, bange na madawa yote ya kulevya pia ni Kijiwe cha wazururaji!
Kazi mliyo tumwa hamuiwezi MTACHEMKA TU!,
Alikuwepo MALARIASUGU yupo wapi sasa? Chali........
 
Upumbavu wa viongozi wa ccm ni mwingi na umesambaa kila kona kweli hiki chama ni cha kufutilia mbali na viongozi wao wapandishwe kizimbani
 
Ni tetesi kwa maana ya Kwamba hakuna Writen Evidence lakini Ukizxingatia UKWELI...huu Siyo Uongo ni Ukweli Kabisa kwani ni taarifa zinazoweza Kuthibitishwa na Mafundi Mitambo wa Bunge

Ndugu Mtulutumbi!! Jina lako linanikuna kweli natamani nijue maana yake!! Nadhani unachoongea siyo tetesi ila umepata taarifa hizo toka kwaa wahusika wenyewe. Tetesi ni maneno ambayo yanasikika toka kwa third party lakini wewe umeyapata kwa wahusika wenyewe sasa inakuwaje tetesi au uliyapata kwa njia ya utulutumbi?
 
Heading ya mwanahalisi kesho ' JF yageuka kijiwe, yapoteza mwelekeo. Wanachama wake wakosa hoja, wajadili mambo ya tetesi'

Mkuu Kwa jinsi mambo yanavyokwenda humu naona tutafikia huko!! Watu hawatoi hoja, wakiulizwa hoja hwajibu zaidi zaidi wanasema mtu umetumwa sasa sijui thinking ya humu iko wapi? Tetesi zimekuwa nyingi, uongo na thread za kutunga tu ambazo hazina ushahidi au mantiki ili mradi basi mtu amepost!
 
Ndugu Mtulutumbi!! Jina lako linanikuna kweli natamani nijue maana yake!! Nadhani unachoongea siyo tetesi ila umepata taarifa hizo toka kwaa wahusika wenyewe. Tetesi ni maneno ambayo yanasikika toka kwa third party lakini wewe umeyapata kwa wahusika wenyewe sasa inakuwaje tetesi au uliyapata kwa njia ya utulutumbi?

kwa wakurya mtulutumbi ni mchawi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom