Kwani tuliwakosea nini wanawake? Tangu Eden?

Kwani tuliwakosea nini wanawake? Tangu Eden?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,991
Reaction score
831,560
Mara baada ya kumpigia simu mkewe, María Isabel Santos Caballero Mwamba “Pablo Escobar” alikamatwa na huo ndo ulikuwa mwisho wake.

The Drug Lord “El Chapo” naye alikamatwa mara tu baada ya kufanya mawasiliano na Manzi yake “Kate De Castillo”

Star Boi “El Mencho” akiwa kwenye mjengo wake huko Tapalpa (Jalisco) nchini Mexico,

Lokesheni yake ilitambulika mara tu baada ya kufanya mawasiliano na bebe yake “Guadalupe Moreno Carrillo”

Alivamiwa na kikosi maalumu cha jeshi la Mexico, na kuuawa.

Wahuni waliwalinda sana MaBosi zao, tena kwa uaminifu wa hali ya juu bila ya USNITCHI wowote ule, Guess what!

Maanguko yao yametokea vilevile kama ilivyokuwa kwa Babu yetu Adamu (EVA) au Mzee wetu Samsoni (DELILA).

Bible imeshatuasa! Tuishi nao kwa akili😀🙌🏿🏃🏿
1772031495346.jpg
 
Huko Mexico, kama ilivyo katika maeneo yote yanayozungumza Kihispania, el (bila lafudhi) ni neno bainishi la umoja wa kiume, linalomaanisha "the". Inatumika kabla ya umoja, majina ya kiume (kwa mfano, el carro - gari, el perro - mbwa). Él (kwa lafudhi) ina maana "yeye".

Maelezo muhimu kuhusu "el" huko Mexico:
"The" (Mwanaume): Inatangulia nomino za kiume, kama vile el libro (kitabu).
Mikato: El ni sehemu ya mikazo: del (de + el, ikimaanisha "ya" au "kutoka") na al (a + el, ikimaanisha "hadi").
El dhidi ya Él: El = the (makala); Él = yeye (kiwakilishi cha somo).
Isipokuwa: Inatumika pamoja na baadhi ya nomino za kike zinazoanza na 'a' au 'h' iliyosisitizwa, kama vile el agua (maji) au el águila (tai) kusaidia matamshi.
Kwa kifupi, el inamaanisha "the" kwa nomino za kiume
 
"Mwanaume unatakiwa uoe kwasababu ukiwa peke yako unaweza kuugua usiku na ukafa kwa kukosa msaada."

Haya sasa aliyekuwa anategemewa kuwa msaada wa kukunusuru usife ukiugua usiku ndio huyo sasa kaku-snitch kwa mamwela.
 
Kwani majina yanaanza na El ndo ubin wao
Huko Mexico, kama ilivyo katika maeneo yote yanayozungumza Kihispania, el (bila lafudhi) ni neno bainishi la umoja wa kiume, linalomaanisha "the". Inatumika kabla ya umoja, majina ya kiume (kwa mfano, el carro - gari, el perro - mbwa). Él (kwa lafudhi) ina maana "yeye".

Maelezo muhimu kuhusu "el" huko Mexico:
"The" (Mwanaume): Inatangulia nomino za kiume, kama vile el libro (kitabu).
Mikato: El ni sehemu ya mikazo: del (de + el, ikimaanisha "ya" au "kutoka") na al (a + el, ikimaanisha "hadi").
El dhidi ya Él: El = the (makala); Él = yeye (kiwakilishi cha somo).
Isipokuwa: Inatumika pamoja na baadhi ya nomino za kike zinazoanza na 'a' au 'h' iliyosisitizwa, kama vile el agua (maji) au el águila (tai) kusaidia matamshi.
Kwa kifupi, el inamaanisha "the" kwa nomino za kiume
 
Miaka ya 1960s Marita Lorenz aliyekuwa mpenzi wa Fidel Castro ambaye walikuwa wakwisha achana, anasema alipewa vidonge vya sumu na CIA, ili akifika kwa Castrol aviweke kwenye kinywaji ili akinywa afe.

Ilishindikana sababu Bi Dada alikuwa bado anampenda jamaa na amekufa ameoza kwa Fidel Castro, alipofika zoezi likawa gumu, akawa ana hofu kitu kilichopelekea Castro kugundua kuna kitu hakipo sawa. Maana kipindi hiko CIA walikuwa wanamuwinda sana jamaa, hivyo akafahamu kuna njama dhidi yake.

Kwa sababu jamaa naye kwenye ulimwengu wa kijasusi hakuwa haba alifahamu kinachoendelea , kwa makusudi alimpa Marita bastola na kumuambia kama ametumwa kummaliza basi ampige risasi, Marita mikono yake ikawa inatetemeka, akashindwa, mwisho akaweka bastola chini, machozi yakaanza kumtoka.

images
Marita-Lorenz-de-joven-amante-de-Fidel-Castro.jpg
 
Mara baada ya kumpigia simu mkewe, María Isabel Santos Caballero Mwamba “Pablo Escobar” alikamatwa na huo ndo ulikuwa mwisho wake.

The Drug Lord “El Chapo” naye alikamatwa mara tu baada ya kufanya mawasiliano na Manzi yake “Kate De Castillo”

Star Boi “El Mencho” akiwa kwenye mjengo wake huko Tapalpa (Jalisco) nchini Mexico,

Lokesheni yake ilitambulika mara tu baada ya kufanya mawasiliano na bebe yake “Guadalupe Moreno Carrillo”

Alivamiwa na kikosi maalumu cha jeshi la Mexico, na kuuawa.

Wahuni waliwalinda sana MaBosi zao, tena kwa uaminifu wa hali ya juu bila ya USNITCHI wowote ule, Guess what!

Maanguko yao yametokea vilevile kama ilivyokuwa kwa Babu yetu Adamu (EVA) au Mzee wetu Samsoni (DELILA).

Bible imeshatuasa! Tuishi nao kwa akili😀🙌🏿🏃🏿View attachment 3548576
Umesahau na sadam Hussein mke wake alitoa Siri alipo wanajeshi wa marekani wakaenda kumkamata kwenye andaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom