Kwani ni lazima???

......Kuhusu simu, email mie sioni umuhimu sana maana hivyo ni vitu binafsi. Anaweza kuwa na zaidi ya email moja je utajua zote?

Hata kuhusu account za bank kila mtu anaweza kuwa na account ya kwake lakini mnapeana pin number huwezi jua kesho itakuwaje ili hata mmojawapo akipata shida basi mwenzako aweze kuchukua pesa hata kwenye ATM kwa kutumia debit/credit card.

Vile vile mnaweza kuwa na joint account ambayo inakuwa saving account tu.


asante sana kwa maoni yako....
ni vizuri kisikia maoni tofauti kuhusu hili..
ni pale tu mtu anaposema if u want to move forward we have to share and show each other every thing.....
 
Kuna vitu muhimu vya ku-share. Mfano, mi sioni shida mtu kufahamu mshahara wa mwenzi wake. Ila vitu kama email haina ulazima kufahamu password ya mwingine. Bank accounts binafsi naona ni muhimu kufahamu password na ni vizuri kukawa na family bank account, tatizo huwa linakuja pale mmoja anapotaka kusaidia ndugu zake, mwingine anaweza kaona msaada ni mkubwa sana ama ni mara kwa mara mno. Ila kama watu wanapendana wanaweza kupeana uhuru fulani katika kutoa misaa kwa ndugu zao. Itakuwa vizuri ikiwa kuna family account kama nilivyosema ambapo kila mmoja nachangia percent kutokana na mapato yake then kile anchobaki nacho baada ya kuchangia account ya pamoja anakuwa na uhuru wa kufanya atakacho. Ila amini usiamni, kama watu wanapendana masuala ya account huwa hayana mgogoro sana.
 
kwa hiyo kwa maoni yako ni borea kuwa individually???
na kwa pin number namaanisha pin number zote
kuanzia za cellphone, credit card na mambo ya computer za kazini.....

Ukishakuwa na individual Acc # so is the PIN maana unahitaji Bank card to access the acc. atakama ni sema PIN bado atahitaji Bank Card. Kwani mko ofisi moja? mie sijaelewa swali sijui? Na baada ya hili utakuja na email address, kuna vitu ambayo ni personal na hili la kazini ni mojawapo. Lazima mpeane space kama mnataka furaha na amani. Ila hapo kwenye simu nahisi harufu ya UCHAKACHUZI! maana kama huna siri sioni kwa nini wewe au yeye asiweze kupokea au kutumia simu yako/yake. Clinging on material things can make your family life miserable (mwishowe mtaishia kwenye Prenaps). Kama haupo na wanyumbani tuambie maana kuna mijitu flani huwa haina utu kabisa.
 
Kuna vitu muhimu vya ku-share. Mfano, mi sioni shida mtu kufahamu mshahara wa mwenzi wake. Ila vitu kama email haina ulazima kufahamu password ya mwingine. Bank accounts binafsi naona ni muhimu kufahamu password na ni vizuri kukawa na family bank account, tatizo huwa linakuja pale mmoja anapotaka kusaidia ndugu zake, mwingine anaweza kaona msaada ni mkubwa sana ama ni mara kwa mara mno. Ila kama watu wanapendana wanaweza kupeana uhuru fulani katika kutoa misaa kwa ndugu zao. Itakuwa vizuri ikiwa kuna family account kama nilivyosema ambapo kila mmoja nachangia percent kutokana na mapato yake then kile anchobaki nacho baada ya kuchangia account ya pamoja anakuwa na uhuru wa kufanya atakacho. Ila amini usiamni, kama watu wanapendana masuala ya account huwa hayana mgogoro sana.
I second you on that, na kwa upande mwingine hiki ni kipimo cha upendo.Ghafla uko hoi bin taaban na mwenzio hana hela za kutosha kwavile mshaara wake ni mtogo na hajui chochote kuhusu acc yako si unaweza kupoteza maisha na ilhali hela ipo. My motto is your money should take care of you and not vise-versa
 
Ukishakuwa na individual Acc # so is the PIN maana unahitaji Bank card to access the acc. atakama ni sema PIN bado atahitaji Bank Card. Kwani mko ofisi moja? mie sijaelewa swali sijui? Na baada ya hili utakuja na email address, kuna vitu ambayo ni personal na hili la kazini ni mojawapo. Lazima mpeane space kama mnataka furaha na amani. Ila hapo kwenye simu nahisi harufu ya UCHAKACHUZI! maana kama huna siri sioni kwa nini wewe au yeye asiweze kupokea au kutumia simu yako/yake. Clinging on material things can make your family life miserable (mwishowe mtaishia kwenye Prenaps). Kama haupo na wanyumbani tuambie maana kuna mijitu flani huwa haina utu kabisa.


nimekuelewa sana asante...
na hapo nilipo highlight red sintopenda kujibu....
asante
 
I second you on that, na kwa upande mwingine hiki ni kipimo cha upendo.Ghafla uko hoi bin taaban na mwenzio hana hela za kutosha kwavile mshaara wake ni mtogo na hajui chochote kuhusu acc yako si unaweza kupoteza maisha na ilhali hela ipo. My motto is your money should take care of you and not vise-versa

You are absolutely right GFM.
 
[/COLOR][/SIZE]
nimekuelewa sana asante...
na hapo nilipo highlight red sintopenda kujibu....
asante
Dada sie tupo jamvini........... nakumbuka sikumoja Mwl. Nyerere aliongea kizanaki akiwa anahutubia....alisema .."ovuso ovuso umuweri ekiroro kiramuvura"............
(sijui kama nimepatia) maana yake mfichaficha maradhi kilio kitamfichua. ..
Angalizo: Mie sio mzanaki na hata sijui kama nimepatia hiyo lugha ila kuna ujumbe hapo...........
samahani kama umekwazika..
 
Dada sie tupo jamvini........... nakumbuka sikumoja Mwl. Nyerere aliongea kizanaki akiwa anahutubia....alisema .."ovuso ovuso umuweri ekiroro kiramuvura"............
(sijui kama nimepatia) maana yake mfichaficha maradhi kilio kitamfichua. ..
Angalizo: Mie sio mzanaki na hata sijui kama nimepatia hiyo lugha ila kuna ujumbe hapo...........
samahani kama umekwazika..

wala hata hujanikwaza kabisa...
lakini mimi siko tayari tu ku share hayo...
na asante kwa ujembe.....
 
Back
Top Bottom