mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Hii labda iwe Thread ya kupata references mbali mbali za namna Raisi wa Awamu ya tano John P Magufuli alivyoweza kufanikisha mambo mengi kwa mda Mfupi sana,wapo wanajua njia zilizotumika na huwenda zinaweza kusadia kukimbiza mambo kwa sasa kwa yale yote yanayonekana kama vile hayaendi tena kama ilivyokua hapo awali. .
Tujiulize haya na mengine mengi yatakayojaziwa na wadau humu...
Kwan Magufuli yeye aliwezaje,alikua na watu gani wanampatia msaada sahihi ,ni njia zipi alitumia kufanikiwa kiwepesi ?
Je Aliwezaje ?
1.Ndani ya Miaka Mitano kumaliza tatizo la kukatika hovyo kwa Umeme ?
2.Kumaliza kabisa Urasimu kwenye Ofisi za uma ?
3.Kuibua ubatifuli ,uliwaji wa fedha za uma kiholela na kutambua wala Rushwa kirahisi.
View attachment 2137341
Tujiulize haya na mengine mengi yatakayojaziwa na wadau humu...
Kwan Magufuli yeye aliwezaje,alikua na watu gani wanampatia msaada sahihi ,ni njia zipi alitumia kufanikiwa kiwepesi ?
Je Aliwezaje ?
1.Ndani ya Miaka Mitano kumaliza tatizo la kukatika hovyo kwa Umeme ?
2.Kumaliza kabisa Urasimu kwenye Ofisi za uma ?
3.Kuibua ubatifuli ,uliwaji wa fedha za uma kiholela na kutambua wala Rushwa kirahisi.
View attachment 2137341