Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,201
Usiku huu narudi ktk mizunguko yangu nikakatuna na polisi watatu na polisi jamii wawili,wakaniambia nijitambulishe nikatoa kitambulisho halali cha kazi,cha mpiga kura,kadi ya benk.
Swali lililonishangaza waliponiuliza unatoka wapi?
Sasa wadau najiuliza kwani ni lazima polisi ajue unapotoka na unakoelekea?
Swali lililonishangaza waliponiuliza unatoka wapi?
Sasa wadau najiuliza kwani ni lazima polisi ajue unapotoka na unakoelekea?