MMMH!!kweliii itakuwa dhambiii...muizi wa kuku na muizi wa bilioni 5 ni sawaa?dogo alie ibaa kalamu ya mwenzie na kijana alie uwaa na kuibaa malii ni sawa?
unataka kuiba au unataka kuchukua...kama unazichukua wewe zichukue uwarudishie wananchi....ila kama ni kuiba hapana maana mafisadi watakuwa hawajui kama hela zimerudi kwa wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.