FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 132
- 264
Ndo maana mimi binafsi maswala ya kutambulishana kwa makabila huwa sipendi naona kama inakuwaga na ka utengano flani hivi na watu wengine....
Tuachane na hayo me nauliza tu hivi kabila letu sisi watu wa huku ilipotokeaga ajali ya ndege ,sehemu pekee ambayo jiwe aliwahi twambia kila tatizo ni la kwetu
Hivi kwanini ukimtongoza tu mdada ukamwambia kuwa unatokea eneo hili anasita kidogo shida ni nini mbona tuko sawa tu!!!
Tuachane na hayo me nauliza tu hivi kabila letu sisi watu wa huku ilipotokeaga ajali ya ndege ,sehemu pekee ambayo jiwe aliwahi twambia kila tatizo ni la kwetu
Hivi kwanini ukimtongoza tu mdada ukamwambia kuwa unatokea eneo hili anasita kidogo shida ni nini mbona tuko sawa tu!!!