Sio kweliWaarabu asilia na wazungu ni mapacha huwezi kujua tofauti hadi uone majina yao ya kiislamu na kikristo.
Kuna wajuaji watakuja kukubishiaWaarabu asilia na wazungu ni mapacha huwezi kujua tofauti hadi uone majina yao ya kiislamu na kikristo.
Sio WA Jordan au bendera ni ya Italia??Nimemuona huyu mama waziri leo jncc anapiga ngeli kama mmarekani alafu kapiga suit kama kamala alafu hata hajavaa hijabu kama samia najiuliza hivi huyu waziri ni muarabu au mzungu? Au kuna wabantu wanaiga uarabu kuliko waarabu wenyeweView attachment 2742525View attachment 2742526View attachment 2742527
Mwarabu kajaliwa pua kubwa sanaWaarabu asilia na wazungu ni mapacha huwezi kujua tofauti hadi uone majina yao ya kiislamu na kikristo.
Huoni waislamu tunajichanganya😅😅popote pale ,unaumia dini ...Mbona wanatumia mafuta ya hao hao ..Hao ukisoma wasifu wao maisha yao na elimu yao wametumia au kuipata kwa makafili wanao wapiga mawe
Kama waziri wa mambo ya nje wa Libya
Wanaenda kusoma kwa wanao waita makafili na kuvao kama wao
Hii kitaalamu inaitwa baniani mbaya ila kiatu chake dawa
Msituonee tunaojuaKuna wajuaji watakuja kukubishia
.Hao ukisoma wasifu wao maisha yao na elimu yao wametumia au kuipata kwa makafili wanao wapiga mawe
Kama waziri wa mambo ya nje wa Libya
Wanaenda kusoma kwa wanao waita makafili na kuvao kama wao
Hii kitaalamu inaitwa baniani mbaya ila kiatu chake dawa
Hao jamaa wanafundishwa ujinga kwamba elimu ni ya wazungu tu 😅😅..
Jifunze history...hata wazungu walikuja Africa kusoma na kuiba maarifa...
Usiwaabudu wazungu kama miungu yako vile ..na wao walijifunza Africa ...
Ukimuona tu unajua ni muarabu au ni muisraeli maana waarabu na waisraeli ni wale wale tu watoto wa Ibrahimu 😅🙏Nimemuona huyu mama waziri leo jncc anapiga ngeli kama mmarekani alafu kapiga suit kama kamala alafu hata hajavaa hijabu kama samia najiuliza hivi huyu waziri ni muarabu au mzungu? Au kuna wabantu wanaiga uarabu kuliko waarabu wenyewe
View attachment 2742527