Pol Pot
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 983
- 487
ni kweli kabisa CCM na BAKWATA YAKE,IMETUFANYA WAISLAM WA TANZANIA MPAKA LEO TUSIWE NA HOSPITAL HATA MOJA YA MAANA!muislam anayejitambua hatathubutu kuishabikia ccm,twendeni kwenye chama mbadala
Sawa lakini sio hio MOVEMENTS 4 CHRISTIANS...akhui wewe ni mmoja wa waislam nawo waonea huruma daima mungine yule MTOI.. BONGOLALA kadri utavoichukia ccm basi WALLAHI bora uende hata kwa cheyo au nccr au uwe huna chama kabisa lakini sio hawa majamaa wanaetuchukia na kuikashifu pamoja na kuitukana uislam kila uchwao....mkuu kama huniamini hebu ka research kidogo kwa hawa ma pro chadema hapa JF mpaka kwa muasisi wao mtei...anza na nicholas nenda kwa matola hamia kwa ninyakageni etc etc.....usipo elewa wewe ni sum mum buk mun
Last edited by a moderator: