Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,822
hawez kuwa imam huyo jamaa huku vipindi vya swala vinampita yeye yuko majukwaani anahubiri siasa
Ndio kwa maana tunasema chadema na wanasiasa wengine wajifunze kuheshimu iman za watu
Mkuu Hii thread unaiweka kisiasa zaidi sasa usifanye nami nikakujibu kisiasa.
Unataka kusema chadema kimchagua Said ni kuvuruga Uislam?
Funguka mkuu haya mambo ya kufanya vitu kwa mazoea acha, yakupasa ujielimishe kila siku ili uweze kuendana na Hii kasi ya mabadiliko ya dunia. Inamaana mtu ukiwa kiongozi wa dini huruhusiwi kushiriki siasa?