Siku hz kuna maendeleo ya sayansi na teknolojia ambayo yamepelekea hata kuathiri baadhi ya tamaduni zetu, ila leo nataka kujua kitu kimoja tu, ugumu upo wapi kwa mdada kuanza kumwambia mkaka anampenda?
Sioni ubaya ila ningeshahuri dada anae mpenda kaka ajaribu kutuma signals ili kaka aelewe kua she has developed an interest in him. If he is interested too basi yeye amuanze. It is just my opinion, but nikikuta dada anae muanza kaka sioni ubaya vile vile.
Hii mada imeshaletwa hapa mara kadhaa, moja ninayoikumbuka ni hii HAPA. Kwa ufupi, hakuna ubaya, wala sio siku hizi tu, ni mambo yapo yanaendelea toka enzi za mababu. Lakini kama walivyosema wengine, sijui itokee nini mpaka mwanamke akuambie waziwazi kuwa anakutaka/anakupenda, badala yake atakuonesha kwa vitendo. Hata hivyo, bado kama atatokea akuambie anakupenda, cha ajabu nini?
hata wakaka wenyewe hawajaikubali hiyo kitu kiukweli.
Utaishia kuitwa majina yote hasa la ma.la...
Ni bora kufa na tai shingoni maana baada ya muda hisia hupotea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.