Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 875
- 4,101
Fedha yakuhudumia vyura iliwasilishwa Bunge la bajeti na ikapitishwa Kwa kishindo na wabunge tena Kwa sifa kedekede.
Leo TANESCO wamefanya matumizi wabunge wale wale waliopitisha hizo fedha wanashangaa na kujifanya Wana uchungu.....huu ni uzuzu.
Kama walikuwa Wana uchungu wangekataa kuzipitisha. Lakini pia hata bajeti ya mwaka huu kuna madudu na watapitisha Kwa kishindo na Kauli zao za kejeli kwamba usipopitisha usiombe umeme wala maji.....
Wabunge wetu NI janga la Taifa....usikute hata wao wamewahi kwenda Marekani Kwa kutumia hizo fedha kwenda kuwasalimia vyura
Leo TANESCO wamefanya matumizi wabunge wale wale waliopitisha hizo fedha wanashangaa na kujifanya Wana uchungu.....huu ni uzuzu.
Kama walikuwa Wana uchungu wangekataa kuzipitisha. Lakini pia hata bajeti ya mwaka huu kuna madudu na watapitisha Kwa kishindo na Kauli zao za kejeli kwamba usipopitisha usiombe umeme wala maji.....
Wabunge wetu NI janga la Taifa....usikute hata wao wamewahi kwenda Marekani Kwa kutumia hizo fedha kwenda kuwasalimia vyura