Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara Anabembelezwa Kulipa Kodi?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,128
49,863
Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?

Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?

Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?

Tusidanganyane hapa hakuna mfanyabishara Yuko tayari kulipa Kodi Kwa hiari hata Mimi binafsi siwezi kulipa..

Nilitegemea Serikali iimarishe kitengo Cha malalamiko na fidia Ili kama Kuna kukadiriwa Kodi isiyo sahihi mtu a file malalamiko yake na ikibainika kuwe na fidia nk..

Pia kero kubwa ambayo hata Mimi naiona kwenye biashara ni wingi wa utitiri wa taasisi za compliance na zote Zina masharti yake,Sasa nilitegemea kuwe na merging ya pesa inayohitajika Ili hizo taasisi za compliance zibakie kwenye ukaguzi sio mfanyabishara kulipa pesa Kila sehemu kama zimamoto,nemc,leseni, Halmashauri,TRA,TMDA,nk
Pesa ingejumuisha kwamba mtu anatakiwa kulipa kiasi Fulani na Kuna mchanganuo kama vile ulinunua mafuta Kuna mchanganuo wa Kodi na tozo..

Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa ila inashangaza kuvunja taskforce Sasa sijui hiyo enforcement itafanyikaje..
 
Kwa Mtanzania , kama ujamuwekea mfumo ambao utamkata Kodi automatically au ufuatiliaji wa mabavu, ukisema uwaelimishe eti watalipa wenyewe ni uzalendo hutpata hata mmoja , Kuna wakati walifunga maduka wakawa wanapanga barabarani kujiita wamachinga ili kukwepa Kodi. Wanauza kinoma ila wanalalamika kinyama.
 
Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?

Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?

Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?

Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa..


Uko dunia ipi ndugu?

Badala ya kukomaa Kila mtu alipe Kodi wewe unamkomalia anayeibiwa Kwa kina la Kodi.

Kodi ya stool, kodi ya kuleta Lori kuleta mzigo, Kodi za miamala, tozo, Kodi ya pango, Kodi ya hamshauri, Kodi ya mapato, vat, nk. Yaani ni kodi hadi hazina majina

Wanayo haki ya kugoma.

Kwanza wahuni, walamba asali na vibaraka wao hawalipi Kodi.

Kwa wafanyabiashara hizo so Kodi Tena Bali unyang'anyi!.
 
Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?

Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?

Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?

Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa..
upo TRA nn
 
Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?

Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?

Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?

Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa..


Kwanini kodi inalipwa na task force? Kama sio rushwa ni nini? Nani anarchic mizigo isilipwe kodi bandarini? Kwanini ikalipiwe dukani?
Nani anacheza na systems za bandari yetu? Tunawaonea wafanyabiashara wadogo na kuwaacha wakubwa wanaohujumu mambo mengi.
Yes, tuache kuwasumbua wafanyabiashara wadogo. Tudhibiti mianya ya upotevu wa mapato toka kuagiza mpaka kuingiza bandarini
 
Uko dunia ipi ndugu?

Badala ya kukomaa Kila mtu alipe Kodi wewe unamkomalia anayeibiwa Kwa kina la Kodi.

Kodi ya stool, kodi ya kuleta Lori kuleta mzigo, Kodi za miamala, tozo, Kodi ya pango, Kodi ya hamshauri, Kodi ya mapato, vat, nk. Yaani ni kodi hadi hazina majina

Wanayo haki ya kugoma.

Kwanza wahuni, walamba asali na vibaraka wao hawalipi Kodi.

Kwa wafanyabiashara hizo so Kodi Tena Bali unyang'anyi!.
Anaelipa ni consumer wewe mfanyabishara ni mkusanyaji tuu.
 
Kwanini kodi inalipwa na task force? Kama sio rushwa ni nini? Nani anarchic mizigo isilipwe kodi bandarini? Kwanini ikalipiwe dukani?
Nani anacheza na systems za bandari yetu? Tunawaonea wafanyabiashara wadogo na kuwaacha wakubwa wanaohujumu mambo mengi.
Yes, tuache kuwasumbua wafanyabiashara wadogo. Tudhibiti mianya ya upotevu wa mapato toka kuagiza mpaka kuingiza bandarini
Hapo bandarini bila enforcement nani atalipa? Kwani Kila mzigo unaingia kutoka bandarini? Mzigo unaozalishwa kiwandani au Kwa mtu binafsi itakuaje?

Task force inazuia na magendo Sasa ngoja tuone nani atazuia magendo huko mipakani nk.
 
Hakuna unachokijua umeandika andika tuu utoto raha sana...
Si typo hpa kwani shida Iko wapi? Nina uhakika hata risiti Huwa hutoi na pia Huwa hudai na ukidai ni Kwa vile ulikuwa unawaogopa TRA task force,Sasa wameondoka nataka nione jinsi Serikali itapata hizo Kodi Kwa hiari.
 
Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?

Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?

Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?

Tusidanganyane hapa hakuna mfanyabishara Yuko tayari kulipa Kodi Kwa hiari hata Mimi binafsi siwezi kulipa..

Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa..

Fanya biashara wewe ulipe mikodi isiyokuwa na mbele Wala nyuma.

MTU mzima akilia kuna Jambo
 
Si typo hpa kwani shida Iko wapi? Nina uhakika hata risiti Huwa hutoi na pia Huwa hudai na ukidai ni Kwa vile ulikuwa unawaogopa TRA task force,Sasa wameondoka nataka nione jinsi Serikali itapata hizo Kodi Kwa hiari.
Mkuu mimi nalipa kodi bila kulazimishwa walikua wananishangaa naenda Custom kulipia mzigo miaka hiyo bila kukwepa kwepa nanyooka Tunduma tena unakadiliwa kawaida tuu wakati ukikamatwa huko Mpemba rushwa wanataka kubwa kuliko kodi uliyokwepa nimewafundisha watu wengi kwenye hilo hata gari nazochukua SA sikwepi kodi nachukua nazoweza kulipa ingawaje kodi yake ni Mlima sana...mazingira ya Wafanyabiashara Tanzania sio rafiki wahuni ndio watoa maamuzi kwenye sekta ya kodi na ndio wanadidimiza maendeleo...
 
Milamba asali, mihuni, mi vijana ya hivyo na Ile ya TRA ikifungua midomo tu inajulikana kwa uvundo wao midomoni.
Unaona dhana mbovu na za kijinga kama hicho unaongea,kwamba hutaki kulipa Kodi Kwa sababu umejilisha upumbavu huo unaoita milamba asali,ukiambiwa thibitisha huwezi.
 
Back
Top Bottom