ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio?
Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?
Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?
Tusidanganyane hapa hakuna mfanyabishara Yuko tayari kulipa Kodi Kwa hiari hata Mimi binafsi siwezi kulipa..
Nilitegemea Serikali iimarishe kitengo Cha malalamiko na fidia Ili kama Kuna kukadiriwa Kodi isiyo sahihi mtu a file malalamiko yake na ikibainika kuwe na fidia nk..
Pia kero kubwa ambayo hata Mimi naiona kwenye biashara ni wingi wa utitiri wa taasisi za compliance na zote Zina masharti yake,Sasa nilitegemea kuwe na merging ya pesa inayohitajika Ili hizo taasisi za compliance zibakie kwenye ukaguzi sio mfanyabishara kulipa pesa Kila sehemu kama zimamoto,nemc,leseni, Halmashauri,TRA,TMDA,nk
Pesa ingejumuisha kwamba mtu anatakiwa kulipa kiasi Fulani na Kuna mchanganuo kama vile ulinunua mafuta Kuna mchanganuo wa Kodi na tozo..
Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa ila inashangaza kuvunja taskforce Sasa sijui hiyo enforcement itafanyikaje..
Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio?
Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi si ndio?
Tusidanganyane hapa hakuna mfanyabishara Yuko tayari kulipa Kodi Kwa hiari hata Mimi binafsi siwezi kulipa..
Nilitegemea Serikali iimarishe kitengo Cha malalamiko na fidia Ili kama Kuna kukadiriwa Kodi isiyo sahihi mtu a file malalamiko yake na ikibainika kuwe na fidia nk..
Pia kero kubwa ambayo hata Mimi naiona kwenye biashara ni wingi wa utitiri wa taasisi za compliance na zote Zina masharti yake,Sasa nilitegemea kuwe na merging ya pesa inayohitajika Ili hizo taasisi za compliance zibakie kwenye ukaguzi sio mfanyabishara kulipa pesa Kila sehemu kama zimamoto,nemc,leseni, Halmashauri,TRA,TMDA,nk
Pesa ingejumuisha kwamba mtu anatakiwa kulipa kiasi Fulani na Kuna mchanganuo kama vile ulinunua mafuta Kuna mchanganuo wa Kodi na tozo..
Kama ni hivyo basi sawa ngoja tuone mwisho wa siku itakavyokuwa ila inashangaza kuvunja taskforce Sasa sijui hiyo enforcement itafanyikaje..