The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,719
- 983
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Nakuandikia hili,ikiwa ni kiulizo&taarifa kuwa;
Je,umeshindwa kutatua changamoto ya uporaji Ardhi inayofanywa na mamlaka za Ardhi zilizo chini yako nchini?
Mfano;
Ichunguze Idara ya Ardhi Manispaa ya Morogoro,
Kuna uhuni mwingi unaendelea pale katika mradi wa upimaji Ardhi Kiegea A&B.
Wananchi wanaporwa haki zao.
Rushwa imetanda ofisi ya Ardhi Manispaa ya Morogoro.
Tumia vyombo vyako kulichunguza na kuanza na hilo linaloendelea pale kwa sasa.
Ukiweza nenda/tuma team yako ikazungumze na wananchi wa eneo hilo,watakueleza yote.
RC wa sasa ndiyo ameshindwa kabisa kutatua changamoto za Ardhi pale Morogoro.
Nakuandikia hili,ikiwa ni kiulizo&taarifa kuwa;
Je,umeshindwa kutatua changamoto ya uporaji Ardhi inayofanywa na mamlaka za Ardhi zilizo chini yako nchini?
Mfano;
Ichunguze Idara ya Ardhi Manispaa ya Morogoro,
Kuna uhuni mwingi unaendelea pale katika mradi wa upimaji Ardhi Kiegea A&B.
Wananchi wanaporwa haki zao.
Rushwa imetanda ofisi ya Ardhi Manispaa ya Morogoro.
Tumia vyombo vyako kulichunguza na kuanza na hilo linaloendelea pale kwa sasa.
Ukiweza nenda/tuma team yako ikazungumze na wananchi wa eneo hilo,watakueleza yote.
RC wa sasa ndiyo ameshindwa kabisa kutatua changamoto za Ardhi pale Morogoro.