cheeter
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 475
- 155
Kuhusu:Mchaka mchaka wa vyeti feki.
Mimi hili nakuunga asilimia 100%.Huu mchakato uendelee na yeyote atakayebainika basi sheria ichukue mkondo wake.
Ila sasa unapoenda mbali zaidi kubaini watu ambao hawakua na Direct entry ya kuingia Chuo utakua hutendi HAKI.maana ni serikali iliyopita ndo iliweka mfumo wa Foundation/Bridging Programmes.Sasa nakaa najiulza ni nani ambaye anamakosa?hao waliopita through that way ni sababu ya mfumo ulioalalishwa na serikali iliokua madarakani.
Ushauri kwenye hilo ni kubadilisha/kutoa huo mfumo na kuanzia hapo.sio kurudi nyuma..maana ukisema urudi nyuma wapo watu watakaoji wale wanafunzi waliokua wanamaliza form six(Voda fasta) wanaenda kufundisha nao wakaguliwe wamefikaje hapo walipo.
Hii ni nchi yetu Sote,Toa mfumo uliokuwepo na sio kuwasaka waliopitia huo mfumo maana ukifatilia utaona walikopeshwa kabisa na Loans Board na wanatakiwa kurudisha hiyo pesa.
Mwisho kabisa:zoezi la vyeti feki liendelee kwa nguvu,ikiwezekana wekeni email address au special number ambazo wananchi watawatumia details za watu wao wa karibu ambao wapo BOT,NSSF,na wizara zote za serikali wakila mema ya hii nchi huku kina kayumba wenye divison 1 wanatembea kila kukicha na bahasha ya kaki wakitafuta kazi ambazo hazipo..wakibahatika sana wanapata za kwa wahindi.
Mimi hili nakuunga asilimia 100%.Huu mchakato uendelee na yeyote atakayebainika basi sheria ichukue mkondo wake.
Ila sasa unapoenda mbali zaidi kubaini watu ambao hawakua na Direct entry ya kuingia Chuo utakua hutendi HAKI.maana ni serikali iliyopita ndo iliweka mfumo wa Foundation/Bridging Programmes.Sasa nakaa najiulza ni nani ambaye anamakosa?hao waliopita through that way ni sababu ya mfumo ulioalalishwa na serikali iliokua madarakani.
Ushauri kwenye hilo ni kubadilisha/kutoa huo mfumo na kuanzia hapo.sio kurudi nyuma..maana ukisema urudi nyuma wapo watu watakaoji wale wanafunzi waliokua wanamaliza form six(Voda fasta) wanaenda kufundisha nao wakaguliwe wamefikaje hapo walipo.
Hii ni nchi yetu Sote,Toa mfumo uliokuwepo na sio kuwasaka waliopitia huo mfumo maana ukifatilia utaona walikopeshwa kabisa na Loans Board na wanatakiwa kurudisha hiyo pesa.
Mwisho kabisa:zoezi la vyeti feki liendelee kwa nguvu,ikiwezekana wekeni email address au special number ambazo wananchi watawatumia details za watu wao wa karibu ambao wapo BOT,NSSF,na wizara zote za serikali wakila mema ya hii nchi huku kina kayumba wenye divison 1 wanatembea kila kukicha na bahasha ya kaki wakitafuta kazi ambazo hazipo..wakibahatika sana wanapata za kwa wahindi.
