Akiibadilisha TBC kibarua chake kitaota nyasi si unakumbukaya Tido MhandoMimi kanifundisha mwaka jana SAUT japo bado sijamaliza somo la Ethics ( GRS ). Jamaa ni zaidi ya MTAALAM au FUNDI katika masuala ya Media and Journalism. Na kama hatobadilika basi nina uhakika TBC itabadilika na tutajivunia nayo.