Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,692
- 5,452
- Thread starter
- #21
Sina mkuu au wewe unazo?Una taarifa kuwa hajatoa mkuu
Sina mkuu au wewe unazo?Una taarifa kuwa hajatoa mkuu
Mkuu familia mia tano zimesha pata huu msaada?alishatoa hasahasa kwa wamama na wasiojiweza. kulikuwa na vigezo pia vya kupata huo msaada
Awamu nyingine lini mkuu? Ahadi ilikuwa fimilia mia tano.Mbona alishalipa au paka wewe upateView attachment 1470314
😃😃😃jamaa ni muongo jiwe anasubirichezea domokaya weyeeeee n muongo had shetan anajifunzia kwake.
Angalia Wasafi TV utawaona baadhi ya watu wakisaidiwa kupitia watangazaji wa kipindi cha Asubuhi (Zembwela na wenzake) ndio wana mwakilisha Diamond.Sisi wananchi wa hali ya chini tulifarijika sana na maneno yako pale ulipotangaza kuwa, upo tayari kutusaidia japo kulipia pango la nyumba kwa miezi mitatu kwa wananchi wa hali ya chini 500.
Tunaona siku zinazidi kukatika na hatujapata mrejesho wowote kama msaada huo upo au laa. View attachment 1470224
Nitume wapi?Tuma majina yako3. Mkataba wa Chumba. Jina la mtaa na nambari ya nyumba. Majina ya mwenye nyumba. Jina la mjumbe wa mtaa. Na nambari zao za simu..
Eleza kwa kufupi kwa nini upatie msaada wewe na si watu wangine..
Picha tafadhali mkuu zembwela na wenzake wakitoa mpunga kumuwakilisha diamond.Angalia Wasafi TV utawaona baadhi ya watu wakisaidiwa kupitia watangazaji wa kipindi cha Asubuhi (Zembwela na wenzake) ndio wana mwakilisha Diamond.
Niliona kwenye Wasafi TV watangazaji wa Good Morning wakiongozwa na Zembwela,sina picha na kama huamini sikulazimishi sababu umechagua mwenyewe kutokuamini.Picha tafadhali mkuu zembwela na wenzake wakitoa mpunga kumuwakilisha diamond.
huyu jamaa amezoea uwongo, kubwa zaidi kila anapodanganya watu bado wanaamini, humu huletwa mada zake msg za big up kijana na kejeli kwa Kiba hujaa.