Kwako CeO Barbara Gonzalez
Unawezaje kumteua mtu asie na maadili kama Mwijaku kuwa muhamasishaji wa Simba?
Club ya Simba imefika level ya juu sana,kiasi ya kwamba afisa yeyote atakaejihusisha na brand yetu hatakiwi kuwa na makando kando
Mwijaku ni mdhalilishaji wanawake,ameshawahi kupata scandal ya kuvujisha picha za ngono na kuwekwa mahabusu takriban wiki mbili,ni yule msichana tu ameamua kumuachia Mungu,lakini what if wasioitakia mema Simba,wakiamua kumshawishi arudishe kesi mahakamani, huoni kama umeweka rehenani brand yetu?
Kwan hakuna watu wengine wanaoweza kuisemea Simba zaidi ya Mwijako?
Ukiwa CeO wa kwanza mwanamke kwenye ukanda huu,halafu unateua mdhalilishaji wanawake,huoni kwamba unajiaibisha na kuaibisha club yetu?
Umefanya kosa kubwa sana Madam CeO,na usipolirekebisha litatuletea matatizo mbeleni
Unawezaje kumteua mtu asie na maadili kama Mwijaku kuwa muhamasishaji wa Simba?
Club ya Simba imefika level ya juu sana,kiasi ya kwamba afisa yeyote atakaejihusisha na brand yetu hatakiwi kuwa na makando kando
Mwijaku ni mdhalilishaji wanawake,ameshawahi kupata scandal ya kuvujisha picha za ngono na kuwekwa mahabusu takriban wiki mbili,ni yule msichana tu ameamua kumuachia Mungu,lakini what if wasioitakia mema Simba,wakiamua kumshawishi arudishe kesi mahakamani, huoni kama umeweka rehenani brand yetu?
Kwan hakuna watu wengine wanaoweza kuisemea Simba zaidi ya Mwijako?
Ukiwa CeO wa kwanza mwanamke kwenye ukanda huu,halafu unateua mdhalilishaji wanawake,huoni kwamba unajiaibisha na kuaibisha club yetu?
Umefanya kosa kubwa sana Madam CeO,na usipolirekebisha litatuletea matatizo mbeleni