Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,345
- 2,296
Sasa Barbara anafanya nini kwenye hii Parodic poster ....majitu ya simba bure kabisa
Sasa Barbara anafanya nini kwenye hii Parodic poster ....majitu ya simba bure kabisa
Hey beautiful🤣🤣🤣🤣🤣
Upo nyuma sana utopoloAcheni fitnah....
Kama alipelekwa mahabusu hawezi kubadilika?!!!
Binafsi ni mwanachama wa Yanga ila mfuatiliaji mzuri na mpenda mafanikio ya kweli ya soka letu....
Tumuache ndg.Mwijaku awafanyie kazi watani wetu kwani Kama ana makandokando nina imani Simba wanayajua na bado wamemteua!
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Unataka kusema kuwa mtu akikosea na akitubu basi hastahili kuwa katika nafasi yoyote ile?!!!Upo nyuma sana utopolo
Dunia ya sasa ni branding,na brand haitaki makando kando
Kama Simba tunaamini kwenye branding,basi hatuna haja ya kuwa karibu na mtu anewatumia wanawake kingono huku anawapiga picha halafu anarusha mtandaoni,huo ni udhalilishaji
Hivi itakuaje siku simba imechukua ubingwa halafu wanaalikwa bungeni au ikulu?nae mwijaku atasimama Mbele ya mama?atapiga picha na mama?
HiHey beautiful
Kuna kazi zingine hazihitaji mtu aina ya mwijakoUnataka kusema kuwa mtu akikosea na akitubu basi hastahili kuwa katika nafasi yoyote ile?!!!
UHALISIA ungekuwa ni hivyo basi hii dunia kusingekuwa na yeyote popote pale.....
Barbara Gonzalenz na wanaomzunguka ni wasomi na weledi pia.......
#DaimaMbeleNyumaMwiko