Kwahiyo huyu ndio alikuwa na akili kuliko wote waliondamana ubalozi wa Vatican?

Kwahiyo huyu ndio alikuwa na akili kuliko wote waliondamana ubalozi wa Vatican?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,504
Mpaka wakamuamini akaaamua asome biblia kinyume nyume.

Alieleta hii idea huko kijani nadhani atakua yupo kizuizini chini ya jenerali fweleboy mana mchongo umebuma vibaya mno.

Ni huzuni

Ila huyu dada noma kuna rivasi kanipigia hapo Corinthians 13 mpaka 10

 
Mpaka wakamuamini akaaamua asome biblia kinyume nyume.

Alieleta hii idea huko kijani nadhani atakua yupo kizuizini chini ya jenerali fweleboy mana mchongo umebuma vibaya mno.

Ni huzuni

Ila huyu dada noma kuna rivasi kanipigia hapo Corinthians 13 mpaka 10

View attachment 3526121
Hawa ndiyo aina ya watu ccm huwa inawapa madaraka
 
Hizi propaganda ukiangalia kwa haraka haraka unaweza kuona ni mambo madogo tu ya kupuuza lakini kiuhalisia zinatengeneza chuki taratibu na kuwagawa watu, na kutoka kwenye historia machafuko huwa yanaanza hivi hivi kimasihara.

Mambo yakiendelea hivi hivi, yajayo yanasikitisha na tutaumia wote.
 
Huyu anaitwa Taufiq Mchumula.

Nae jana alikuwepo ubalozi wa VATIKAN kama MKATOLIKI kwenye kumshtaki Father Kitima.

20260106_150919.jpg

adriz
 
Back
Top Bottom