comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,504
Mpaka wakamuamini akaaamua asome biblia kinyume nyume.
Alieleta hii idea huko kijani nadhani atakua yupo kizuizini chini ya jenerali fweleboy mana mchongo umebuma vibaya mno.
Ni huzuni
Ila huyu dada noma kuna rivasi kanipigia hapo Corinthians 13 mpaka 10
Alieleta hii idea huko kijani nadhani atakua yupo kizuizini chini ya jenerali fweleboy mana mchongo umebuma vibaya mno.
Ni huzuni
Ila huyu dada noma kuna rivasi kanipigia hapo Corinthians 13 mpaka 10