Kwahili nakubaliana na FAIZA FOXY

Kwahili nakubaliana na FAIZA FOXY

Hata nami nilikubaliana naye. Badala ya kufurahi na kujitangaza ni bora waende kufanyiwa naombi. Kama nguvu ni za giza basi itajidhihurisha na kama nguvu za Roho Mtakatifu itajulikana pia. Shetani hakupi bila kuchukua kikubwa zaidi maana kazi yake ni ku kill, steal and destroy. Lkn kama ni kutoka kwa Mungu basi itakuwa ni kwa nanufaa yake, familia, nchi na dunia nzima kwa sifa na utukufu wa Mungu.
mmmmh mmmh mbona kawaida hiyo...kuna vitoto vingi san hasa vya kizungu vipo hivyo...embu fanya research kabla ya kufika mbali ingia u tube utawaona kibao
 
Google utapata kila kitu acha mihemko ya bangi....

Mtoto amezaliwa in three weeks anaongea lugha saba ,ana six months anasolve laplace transforms equations....

Na sababu kisayansi zimetolewa

Acheni imani za kifedhuli,huyo mtoto kazaliwa na gift,nyie mnasema ni curse,na mchomwe moto wallah
inashangaza mno...alafu wabongo sijui mitandao wanatumia kwa kazi gani kuna video Zaidi ya mamia u tube zinaonesha hawa watoto
 
mmmmh mmmh mbona kawaida hiyo...kuna vitoto vingi san hasa vya kizungu vipo hivyo...embu fanya research kabla ya kufika mbali ingia u tube utawaona kibao

Kwani wazungu hawawi possessed? Mimi sijakataa uwepo wa hao watoto, ninachosema ni kuwa kutakuwa na power behind that. Sasa nguvu hiyo yaweza kuwa imetoka kwa Mungu au kwa devil. Kusingekuwa na power behind wangekuwa normal
 
Kwani wazungu hawawi possessed? Mimi sijakataa uwepo wa hao watoto, ninachosema ni kuwa kutakuwa na power behind that. Sasa nguvu hiyo yaweza kuwa imetoka kwa Mungu au kwa devil. Kusingekuwa na power behind wangekuwa normal

hizi Imani hizi zinwafanya watu washidwe kufikiri kabiasa...kwani mungu hana uwezo wa kumfanya motto wa miaka mitatu kusolve magazijuto..? kwa nini uekimbilia kwa devil na uchawi.? MUNGU hana uwezo huo..?mnashangaza waumini wa sikuhzi
 
Hata nami nilikubaliana naye. Badala ya kufurahi na kujitangaza ni bora waende kufanyiwa naombi. Kama nguvu ni za giza basi itajidhihurisha na kama nguvu za Roho Mtakatifu itajulikana pia. Shetani hakupi bila kuchukua kikubwa zaidi maana kazi yake ni ku kill, steal and destroy. Lkn kama ni kutoka kwa Mungu basi itakuwa ni kwa nanufaa yake, familia, nchi na dunia nzima kwa sifa na utukufu wa Mungu.

Kwa hiyo 'tukemee' pepo la kujua hesabu limtoke...hasijue tena hesabu!? :shock::shock::A S confused::thinking::confused3:
 
hizi Imani hizi zinwafanya watu washidwe kufikiri kabiasa...kwani mungu hana uwezo wa kumfanya motto wa miaka mitatu kusolve magazijuto..? kwa nini uekimbilia kwa devil na uchawi.? MUNGU hana uwezo huo..?mnashangaza waumini wa sikuhzi

Sijui yunachobishania nini. Nimekwambia kuna power behind, na pia nikakuambia yaweza toka kwa Mungu au kwa Shetani. Sasa unaposema Mungu hana uwezo una maana gani, au una assumption zako au hujaenielewa.
Nisome tangia kwenye uzi mama utajua nimesimamia wapi
 
Sijui yunachobishania nini. Nimekwambia kuna power behind, na pia nikakuambia yaweza toka kwa Mungu au kwa Shetani. Sasa unaposema Mungu hana uwezo una maana gani, au una assumption zako au hujaenielewa.
Nisome tangia kwenye uzi mama utajua nimesimamia wapi

Anachokiamini yeye ni kuwa kila kinachoonekana kizuri kwaakili za kibinaadamu basi kina baraka za MUNGU' kitu ambacho si kweli!! Nadhani hajui kuwa katika ulimwengu wa roho (ulimwengu usioonekana kwa macho ya kawaida) kuna nguvu mbili kinzani.
 
Umeelewa kinachozungumziwa lakini?haya huyo mtoto kagundua nini? Kuna mzungu alizaliwa akijua kuandika bila kufundishwa namna ya kuandika? Tusingekuwa na maswali kama angekuwa anafanya mambo ya kutengeneza vitu Fulani bila kufundishwa ILA hili la kusolve equation bila kufundishwa hata formula zake sio kipaji hicho kuna jambo.

sasa si ndo anaanza apewe muda tu ila kujikatisha tamaa na kuanza kuwazia mambo ya giza tena wapi na wapi
 
sasa si ndo anaanza apewe muda tu ila kujikatisha tamaa na kuanza kuwazia mambo ya giza tena wapi na wapi

Hamna swala lakukatishana tamaa ndugu' tunachojaribu kukifanya ni kuwa watu tunapaswa kuwa makini na haya mambo!! Tukitambua kuwa shetani nae anafanya yake' ndio maana ukifuatia maelezo yangu Kuna mahala nasema hamna namna yakuweza kutambua chanzo cha hayo ayafanyayo zaidi ya maombi.
 
Hata nami nilikubaliana naye. Badala ya kufurahi na kujitangaza ni bora waende kufanyiwa naombi. Kama nguvu ni za giza basi itajidhihurisha na kama nguvu za Roho Mtakatifu itajulikana pia. Shetani hakupi bila kuchukua kikubwa zaidi maana kazi yake ni ku kill, steal and destroy. Lkn kama ni kutoka kwa Mungu basi itakuwa ni kwa nanufaa yake, familia, nchi na dunia nzima kwa sifa na utukufu wa Mungu.

Kama ni nguvu za giza basi na mimi naomba mwanangu awe nazo za aina hiyo,...watu mmekuwa watumwa wa hizi dini na mnanyonya kama madodoki mpaka mnatia hasira.Waombe maombi aya nini wakati mtoto ana kipaji maalum...kweli nimeamini miafrika ndio tulivyo...by the way maombi hata hayana nguvu yoyote zaidi ya kutiana uvivu na kupotezeana muda.

Poor sisi.
 
Baada ya kupitia uzi unaomuongelea mtoto wa miaka mitatu mwenye uwezo wa kufanya hesabu na kuongea kiingereza' nimepitia comment za watu tofauti lakini nachelea kusema naungana na Faiza Foxy kwamba huyo mtoto anaendeshwa na nguvu ya ziada.

Nasema hayo nikiwa na mfano hai' kama mtakumbuka Sheikh SHARIF IDD ilikuwa habari nyingine kabisa' yaani toka Yuko tumboni mwa mamaake inasemekana alikuwa anaongea (nasema inasemekana kwa sababu sijawahi kumsikia zaidi ya kuhadithiwa Tu)'' sasa Leo hii huyo Sheikh Sharif ni tapeli mwalijua hilo?

Kwa sababu kwa hali ya kawaida watu ambao ni 'majiniazi', 'ujiniazi' wao hauanzi kutoka kusikojulikana'. Yaani mtu baada ya kufundishwa kitu ndipo anafanya kwa kiwango cha juu na kuongeza vitu ambavyo mpaka mfundishaji anashangaa kuona', mpaka nafsi ya mtu muwezeshaji inakubali na kusema huyu mtu atakuwa na uwezo wa ziada.

Sasa huyo mtoto eti anafanya hesabu za Sekondari kafundishwa wapi? Na nani mfundishaji wake? Bora angekuwa anaongea kiingereza tu tungesema labda anasikia kutoka kwa watu wanaomzunguka, lakini hili la kusolve hesabu kuna ???? Nyingi Sana.

Majiniazi wengi ambao wana uwezo mkubwa hata kabla ya kupelekwa shule. Uwezo wao huonekana kwenye vitendo, mfano utaona mtoto anabuni kutengeza kitu fulani mpaka unayemuona unashangaa kajulia wapi? Lakini sio kufanya vitu vinavyofanywa kwa formula fulani kama hesabu.

Na watu wa namna hiyo hata asipopelekwa darasani au kufundishwa kitu anakuwa na uwezo mkubwa wa utendaji kwenye fani fulani, mifano mingi juu ya hilo mtakuwa nayo wenyewe!

Kwahayo machache nakubaliana na mtazamo wa FaizaFoxy juu ya huyo mtoto upo sahihi kabisa, anayebisha na abishe Tu!!

Tujitahid kumuomba Mungu atupe jicho la tatu; yaani tuwe na uwezo wa ziada wa kuyatizama mambo na sio kuamini kila unachokiona na kukiskia. Hivyo huyo mtoto ana jini ndilo linalofanya hayo yote.

YESU au Nabii ISSA mwenyewe alizaliwa kama mtu wa kawaida kabisa ila matendo yake ndio yaliyowafanya watu waamini kuwa huyu mtu sio wa kawaida.

uelewa wako wa mambo ni mdogo sana,...unajiliwaza na dini tu
 
Naomba kujuzwa background ya wazazi wake..Je,ni dini au dhehebu gani.Uhusiano wao na Mungu ukoje i.e ni waombaji sana au wakawaida au hawaombi kabisa.Kabla ya mtoto kuzaliwa mama akiwa mjamzito hali yake ilikuwaje haswa.Nikijuzwa hayo nitapata angalau cha kuchangia.
 
Hiyo ni miujiza ya Mungu tu Hakuna jini wa nn Wacheni mawazo mgando hayo

Acheni mawazo ya kmaskin kwa hyo ata drone za wamarekani ni uchawi na wanasayansi wanaoenda mwezini ni uchawi?mnajua mmiliki wa Facebook alipoigundua alkua na umri gani?Acheni mawazo ya kshrkna ya kina sheikh yahaya alafu mnaanza kulalamika mfumo krsto
 
Nyie nikina nani mpaka muhukumu acheni wivu wa kike huo zaeni wenu basi.hizo ni baraka sio laana yaone
 
e22.jpg

Meet a talented 10-year-old Nigerian girl, Esther Okade, who has been recently been accepted to study for a university maths degree in the UK.....some have talents like this young lady who has been taught math by her mother, ila kwa huyu wa kwetu mhhh!!! may be

 
Kuna kitu kimoja watu waelewe, kama huyo ni "genius", mimi nilisema hilo na Ishmael akanisahihisha kuniambia huyo ni "Christian Genius", sina tatizo na hilo na nimemkubalia 100% sasa aende yeye na wengine wakatazame post yangu namba 69 (Bofya hapa) nimekopi na kubandika maana ya neno "genius" kutoka kwenye dictionary na chanzo nimeweka.

Na ikiwa watu hawakubaliani na hilo basi waende wakajisomee kuhusu "autism", Jee, kama huyo mtoto si "genius" basi afanyiwe uchunguzi wa "autism"? Jee, nalo pia litakuwa na ubishi?

Naomba msiojuwa "autism" ni nini mjisomee nimeweka link chini au m google kuelewa "autism" ni nini.

What Genius and Autism Have in Common | TIME.com

http://www.nydailynews.com/life-styl...icle-1.1340923

Autism and extraordinary ability: Genius locus | The Economist
 
Back
Top Bottom