Kwahili nakubaliana na FAIZA FOXY

Kwahili nakubaliana na FAIZA FOXY

Ivi vitu mbna vipo, au hamjasikia watoto wadogo chini ya miaka 10 wamehack server za NASA, FBI uko marekani.. Things which are almost impossible for an adult to do
Sawa vipo hatujabisha' ILA jaribu kufuatilia kwa undani ndio utajua tunaamanisha nini!! Totally they don't exist from no where' there are some condition and situation which favour them in one way or another' wamarekani ni watu waajabu sana wanachotaka wao ni dunia iamini kwamba they posses some unique characters which are inborn while if you go deep utagundua kwamba those characters are made. Kwahiyo sio kuamini kila wanachokisema hao jamaa.
 
Mungu anaweza kumpa ujuzi au elimu kiumbe yeyote amtakaye,na ndiyo maana mie toka mwanzo sikukubaliana na faiza foxy kusema kuwa huyo mtoto anaweza akawa ana jini ndiyo lenye kufanya hivyo. Japo najua uwezekano huo upo lakini hatuwezi kusema hivyo kwa haraka kwa sababu anaweza akawa hana tatizo la kijini na ikawa ni miujiza yake Mungu. Mfano huyo Sheikh Sharif,zidhani kama faiza foxy atakubali kuwa Sheikh sharif naye alikuwa na tatizo la kijini kama asemavyo kwa huyo mtoto.Wapo wataalamu wa mambo ya kijini wanaweza kujua kama huyo mtoto ana tatizo la kijini au sivyo hivyo.


Ni maoni yangu tu.

Ni kweli kweli kwa Mungu yote yanawezekana' lakini utajuaje kuwa hili ni mpango WA Mungu? Jibu ni MAUMBI TU na sio kwakutumia uwezo WAkibinadamu.
 
Last edited by a moderator:
Umeelewa kinachozungumziwa lakini?haya huyo mtoto kagundua nini? Kuna mzungu alizaliwa akijua kuandika bila kufundishwa namna ya kuandika? Tusingekuwa na maswali kama angekuwa anafanya mambo ya kutengeneza vitu Fulani bila kufundishwa ILA hili la kusolve equation bila kufundishwa hata formula zake sio kipaji hicho kuna jambo.

Google utapata kila kitu acha mihemko ya bangi....

Mtoto amezaliwa in three weeks anaongea lugha saba ,ana six months anasolve laplace transforms equations....

Na sababu kisayansi zimetolewa

Acheni imani za kifedhuli,huyo mtoto kazaliwa na gift,nyie mnasema ni curse,na mchomwe moto wallah
 
Google utapata kila kitu acha mihemko ya bangi....

Mtoto amezaliwa in three weeks anaongea lugha saba ,ana six months anasolve laplace transforms equations....

Na sababu kisayansi zimetolewa

Acheni imani za kifedhuli,huyo mtoto kazaliwa na gift,nyie mnasema ni curse,na mchomwe moto wallah
Sawa.....!
 
Kwanza wote kwa pamoja mleta mada na faiza fox tukubaliane kuwa sheikh sharif nayeye alikuwa anaongozwa na majini kama ilivyo kwa huyu dogo.ndipo tuendelee na mjadala.

Maana anaweza kuja kukataa hapa huyu mama.maana si unajua huyu ni sheick?

Ktk mada hajamtamka mojakwa moja shekhe,lakini mlengo wake ulikuwa kama unavya dai hivyo rudia kusoma then endelea na mada
 
Ktk mada hajamtamka mojakwa moja shekhe,lakini mlengo wake ulikuwa kama unavya dai hivyo rudia kusoma then endelea na mada

Lengo la mleta mada ni kumuunga mkono faiza fox kuwa yule mtoto ana mapepo.kwa muongo huu huu wa huyu sheikh sharifu alifanya maajabu.

Sasa nilitaka aje akubari kwanza kuwa sheikh nayeye alikuwa na majini tu.then tuelewe tunashika wapi.
 
Hata mimi kwa Hili nitamuungaa mkono faiza foxy
 
Google utapata kila kitu acha mihemko ya bangi....

Mtoto amezaliwa in three weeks anaongea lugha saba ,ana six months anasolve laplace transforms equations....

Na sababu kisayansi zimetolewa

Acheni imani za kifedhuli,huyo mtoto kazaliwa na gift,nyie mnasema ni curse,na mchomwe moto wallah

Ha ha ha! Duh! Mkuu ulipotaja "La place" umenikumbusha chuoni, Yaani ilizingua watu, ss cha ajabu dogo anaipiga vizuri. Kama ni kweli ni muujiza.
 
Baada ya kupitia uzi unaomuongelea mtoto wa miaka mitatu mwenye uwezo wa kufanya hesabu na kuongea kiingereza' nimepitia comment za watu tofauti lakini nachelea kusema naungana na Faiza Foxy kwamba huyo mtoto anaendeshwa na nguvu ya ziada.
Nasema hayo nikiwa na mfano hai' kama mtakumbuka Sheikh SHARIF IDD ilikuwa habari nyingine kabisa' yaani toka Yuko tumboni mwa mamaake inasemekana alikuwa anaongea (nasema inasemekana kwasababu sijawahi kumsikia zaidi ya kuhadithiwa Tu)'' sasa Leo hii huyo Sheikh Sharif ni tapeli mwalijua hilo?

Kwasababu kwahali ya kawaida watu ambao nimajiniazi ujiniazi wao hauanzi kutoka kusikojulikana' yaani mtu baada yakufundishwa kitu ndipo anafanya kwakiwango cha juu na kuongeza vitu ambavyo paka mfundishaji anashangaa kuona' paka nafsi ya mtu muwezeshaji inakubali na kusema huyu mtu atakuwa na uwezo wa ziada.

Sasa huyo mtoto eti anafanya hesabu za sekondari kafundishwa wapi na nani mfundishaji wake? Bora angekuwa anaongea kiingereza Tu tungesema labda anasikia kutoka kwa watu wanaomzunguka' lakini hili lakusolve hesabu kuna ???? Nyingi Sana.
Majiniazi wengi ambao wana uwezo mkubwa hata kabla yakupelekwa shule uwezo wao huonekana kwenye vitendo' mfano utaona mtoto anabuni kutengeza kitu Fulani paka unayemuona unashangaa kajulia wapi? Lakini sio kufanya vitu vinavyofanywa kwa furmula Fulani kama hesabu. Na watu wanamna hiyo hata asipopelekwa darasani au kufundishwa kitu anakuwa na uwezo mkubwa WA utendaji kwenye fani fulani' mifano mingi juu ya Hilo mtakuwa nayo wenyewe!

Kwahayo machache nakubaliana na mtazamo WA Faiza Foxy juu ya huyo mtoto' upo sahihi kabisa anayebisha na abishe Tu!! Tujitahid kumuomba Mungu atupe jicho la tatu' yaani tuwe na uwezo wa ziada wakuyatizama mambo' na sio kuamini kila unachokiona na kukiskia. Hivyo huyo mtoto ana jini ndilo linalofanya hayo yote'
YESU au Nabii ISSA mwenyewe alizaliwa kama mtu WA kawaida kabisa ila matendo yake ndio yaliyowafanya watu waamini kuwa huyu mtu sio WA kawaida.
aise huyo mtoto wasije kuwa wamempata baada ya kwenda kwa mganga.maana nawezeana ananguvu ya ziada ambayo n ya kipepo au la.haiwezeani mtu hajafundishwa lugha akaongea,na bila kufundishwa hesabu akafanya.
KUNA JAMAA ANAITWA TERENCE TAO. yeye alikuwa na element kama hizo lakini aifundishwa na pia alikuwa akiona kutoka kwa wazazi wanachokifanya.


Terence "Terry" Chi-Shen Tao FAA FRS (simplified Chinese: 陶哲轩; traditional Chinese: 陶哲軒; pinyin: Táo Zhéxuān) (born 17 July 1975, Adelaide), is an Australian-American mathematician working in harmonic analysis, partial differential equations, additive combinatorics, ergodic Ramsey theory, random matrix theory, and analytic number theory. He currently holds the James and Carol Collins chair in mathematics at the University of California, Los Angeles. Tao was a co-recipient of the 2006 Fields Medal and the 2014 Breakthrough Prize in Mathematics.
[h=2]Contents[/h] [hide]​


[h=2]§Personal life[edit][/h]Tao exhibited extraordinary mathematical abilities from an early age, attending university level mathematics courses at the age of nine. He and Lenhard Ng are the only two children in the history of the Johns Hopkins' Study of Exceptional Talent program to have achieved a score of 700 or greater on the SAT math section while just 8 years old. Tao scored a 760.[SUP][2][/SUP] Also at the age of 8, Tao began to teach high school calculus at Garfield High School after attending calculus courses when he was only 7 years old. In 1986, 1987, and 1988, Tao was the youngest participant to date in the International Mathematical Olympiad, first competing at the age of ten, winning a bronze, silver, and gold medal respectively.

Tao and Paul Erdős in 1985​

He remains the youngest winner of each of the three medals in the Olympiad's history, winning the gold medal shortly after his thirteenth birthday. At age 14, Tao attended the Research Science Institute. When he was 15 he published his first assistant paper. He received his bachelor's and master's degrees (at the age of 16) from Flinders University under Garth Gaudry. In 1992 he won aFulbright Scholarship to undertake postgraduate study in the United States. From 1992 to 1996, Tao was a graduate student atPrinceton University under the direction of Elias Stein, receiving his PhD at the age of 21.[SUP][3][/SUP] He joined the faculty of the University of California, Los Angeles in 1996. When he was 24, he was promoted to full professor at UCLA and remains the youngest person ever appointed to that rank by the institution.
 
Lengo la mleta mada ni kumuunga mkono faiza fox kuwa yule mtoto ana mapepo.kwa muongo huu huu wa huyu sheikh sharifu alifanya maajabu.

Sasa nilitaka aje akubari kwanza kuwa sheikh nayeye alikuwa na majini tu.then tuelewe tunashika wapi.

Mkuu hata huyo sheikh Sharif naamini ilikuwa magumashi tu..watu walimtengeneza kupiga pesa tu
 
wiki 2 zilizopita kuna mtoto alizaliwa huku morogoro maeneo ya turiani akaanza kuongea akisema kuna mvua kubwa itanyesha siku ya jumatatu na jumanne.na watu wasichote maji yake wala kuyatumia watakufa kisha yule mtoto akafa.matokeo yake mvua ikanyesha jumatano na hakuna aliyekufa

na uhakika hii habari ni ya kutunga!
 
aise huyo mtoto wasije kuwa wamempata baada ya kwenda kwa mganga.maana nawezeana ananguvu ya ziada ambayo n ya kipepo au la.haiwezeani mtu hajafundishwa lugha akaongea,na bila kufundishwa hesabu akafanya.
KUNA JAMAA ANAITWA TERENCE TAO. yeye alikuwa na element kama hizo lakini aifundishwa na pia alikuwa akiona kutoka kwa wazazi wanachokifanya.


Terence "Terry" Chi-Shen Tao FAA FRS (simplified Chinese: 陶哲轩; traditional Chinese: 陶哲軒; pinyin: Táo Zhéxuān) (born 17 July 1975, Adelaide), is an Australian-American mathematician working in harmonic analysis, partial differential equations, additive combinatorics, ergodic Ramsey theory, random matrix theory, and analytic number theory. He currently holds the James and Carol Collins chair in mathematics at the University of California, Los Angeles. Tao was a co-recipient of the 2006 Fields Medal and the 2014 Breakthrough Prize in Mathematics.
[h=2]Contents[/h] [hide]​


[h=2]§Personal life[edit][/h]Tao exhibited extraordinary mathematical abilities from an early age, attending university level mathematics courses at the age of nine. He and Lenhard Ng are the only two children in the history of the Johns Hopkins' Study of Exceptional Talent program to have achieved a score of 700 or greater on the SAT math section while just 8 years old. Tao scored a 760.[SUP][2][/SUP] Also at the age of 8, Tao began to teach high school calculus at Garfield High School after attending calculus courses when he was only 7 years old. In 1986, 1987, and 1988, Tao was the youngest participant to date in the International Mathematical Olympiad, first competing at the age of ten, winning a bronze, silver, and gold medal respectively.

Tao and Paul Erdős in 1985​

He remains the youngest winner of each of the three medals in the Olympiad's history, winning the gold medal shortly after his thirteenth birthday. At age 14, Tao attended the Research Science Institute. When he was 15 he published his first assistant paper. He received his bachelor's and master's degrees (at the age of 16) from Flinders University under Garth Gaudry. In 1992 he won aFulbright Scholarship to undertake postgraduate study in the United States. From 1992 to 1996, Tao was a graduate student atPrinceton University under the direction of Elias Stein, receiving his PhD at the age of 21.[SUP][3][/SUP] He joined the faculty of the University of California, Los Angeles in 1996. When he was 24, he was promoted to full professor at UCLA and remains the youngest person ever appointed to that rank by the institution.

Asante kwa maelezo mazuri mkuu" kuna mdau kasema eti marekani watoto WA namna hiyo wanatokea sana.
Kuna kitu umekisema hapo juu" juu ya watoto wanaopatikana baada ya kuhangaika sana katika ndoa bila mafanikio mtu anaamua kwenda kwa waganga" Hilo nalo pia lakuliangalia kwanamna yake.
 
Baada ya kupitia uzi unaomuongelea mtoto wa miaka mitatu mwenye uwezo wa kufanya hesabu na kuongea kiingereza' nimepitia comment za watu tofauti lakini nachelea kusema naungana na Faiza Foxy kwamba huyo mtoto anaendeshwa na nguvu ya ziada.
Nasema hayo nikiwa na mfano hai' kama mtakumbuka Sheikh SHARIF IDD ilikuwa habari nyingine kabisa' yaani toka Yuko tumboni mwa mamaake inasemekana alikuwa anaongea (nasema inasemekana kwasababu sijawahi kumsikia zaidi ya kuhadithiwa Tu)'' sasa Leo hii huyo Sheikh Sharif ni tapeli mwalijua hilo?

Kwasababu kwahali ya kawaida watu ambao nimajiniazi ujiniazi wao hauanzi kutoka kusikojulikana' yaani mtu baada yakufundishwa kitu ndipo anafanya kwakiwango cha juu na kuongeza vitu ambavyo paka mfundishaji anashangaa kuona' paka nafsi ya mtu muwezeshaji inakubali na kusema huyu mtu atakuwa na uwezo wa ziada.

Sasa huyo mtoto eti anafanya hesabu za sekondari kafundishwa wapi na nani mfundishaji wake? Bora angekuwa anaongea kiingereza Tu tungesema labda anasikia kutoka kwa watu wanaomzunguka' lakini hili lakusolve hesabu kuna ???? Nyingi Sana.
Majiniazi wengi ambao wana uwezo mkubwa hata kabla yakupelekwa shule uwezo wao huonekana kwenye vitendo' mfano utaona mtoto anabuni kutengeza kitu Fulani paka unayemuona unashangaa kajulia wapi? Lakini sio kufanya vitu vinavyofanywa kwa furmula Fulani kama hesabu. Na watu wanamna hiyo hata asipopelekwa darasani au kufundishwa kitu anakuwa na uwezo mkubwa WA utendaji kwenye fani fulani' mifano mingi juu ya Hilo mtakuwa nayo wenyewe!

Kwahayo machache nakubaliana na mtazamo WA Faiza Foxy juu ya huyo mtoto' upo sahihi kabisa anayebisha na abishe Tu!! Tujitahid kumuomba Mungu atupe jicho la tatu' yaani tuwe na uwezo wa ziada wakuyatizama mambo' na sio kuamini kila unachokiona na kukiskia. Hivyo huyo mtoto ana jini ndilo linalofanya hayo yote'
YESU au Nabii ISSA mwenyewe alizaliwa kama mtu WA kawaida kabisa ila matendo yake ndio yaliyowafanya watu waamini kuwa huyu mtu sio WA kawaida.

we ni mse nge issa siyo yesu
 
Washirikina utawajua tuu. I never believe in the existence of the so called majini.
 
Asante kwa maelezo mazuri mkuu" kuna mdau kasema eti marekani watoto WA namna hiyo wanatokea sana.
Kuna kitu umekisema hapo juu" juu ya watoto wanaopatikana baada ya kuhangaika sana katika ndoa bila mafanikio mtu anaamua kwenda kwa waganga" Hilo nalo pia lakuliangalia kwanamna yake.

marekani kuna waganga :what:
 
Back
Top Bottom