Kwaherini wana_Forum

Ngida wanasema hasira hasara..inabidi ushikamane kwa nguvu zote ku fight huo ufisadi...kama una nia nzuri na nchi yako then fight for it kama mpiganaji halisi..angalia mifano ya wapiganaji waliopita kwenye nchi nyingine....acha kuwa lelemama....inabidi uwe ngangali....simama imara kwa nchi yako na utakuja kufurahuia matunda yake....ila usife moyo bado

Hizo zinaitwa hasira za mkizi .
 
Mkuu Ngida mimi binafsi siwezi kukuunga mkono lakini pia siwezi kukuzuia kufanya uliloliamua na moyo wako. Lakini kwangu mimi niko tofauti na uamuzi wako kwasababu mimi wakati natafuta muda zaidi wa kukaa hapa jamvini ili nipate elimu ya kimaisha ikiwa ni pamoja na kutafuta mbinu mbinu za kuliokoa taifa hili na siasa hizi chafu kwa kuwa mfano bora kwenye kazi yangu na mihangaiko mingine ambayo inaigusa jamii kwa njia moja au nyingine wewe ndugu yangu unakimbia, Please dont go man
 
Nauliza hivi hapa jf kuna habari za siasa tu?

Mbona hapa tunafaidi mambo mengi zaidi ya hapo?

Nadhani hakuna mtu atakuandikia barua kwa barua pepe maana mta discuss nini? ulevi uliosema unakwenda kuanza? Mimi nakushauri uamie Russia au Cuba huko utalewa kweli kweli ile Vodca.

You need peace? Just call Jesus for a help!
 
Mkuu Ngida1,

Ni jambo lisilo busara kutuambia wenzio kwamba unaondoka, sasa wenda wapi?

Unaweza kuwa unapotea kama mimi halafu unarudi tena.

Humu jamvini ni mahala salama kabisa kukupa mwanga wa nini kinaendelea, na sina haja ya kukuorodheshea mambo mengi mazuri ya humu jamvini.

Ukipata wazo wewe unatumbukia humu na kulimwaga, anaependa aatakuunga mkono, asiependa atapita tu na kwenda zake.

Kwa mfano mimi ni "versatile" yaani nipo kila mahala nikisoma hili na lile, kwa hio siku hata ukiwa na hamu na mpira basi unaenda kule kwenye michezo.

Karibu sana.
 
Dear Ndugu: Ganesh, Lampart, Kichuguu, Mndundu, Gudboy, Bubu Ataka Kusema, Mzee Mwanakijiji, Buchanan, Firstlady1, Nguli, Ziondaughter, Bluray, MTM, Josh Michael, Mtoto, Chrispin, Geoff, eRRy84, Omumura, Kweli, Ngambo Ngali, Kobe, Son of Alaska, Kidatu, MzeePunch, Ndahani, Tripo9, Nicko, Mchili, ChaMtuMavi, Maane, kelly01, Dark City, Sugar wa Ukweli, BabaJ, Sonara, Sipo, Mchukia Fisadi, Richard pamoja na wote mlioniletea PMs,

Samahanini sana kwa kimya changu, kwani nilikuwa ninazitilia maanani zile advices mlizonipa kwenye comments zenu. Nimesoma kila comment zaidi ya mara 3.

Nimefarajika sana na msgs zenu. Nimeshindwa kumjibu kila mmoja wenu kwasababu msgs zilikuwa ni nyingi. Nimepokea comments 44 pamoja na private emails 67. Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama mtakuwa-touched na ule ujumbe wangu kama mlivyoonesha. Pia, ule ujumbe wangu ulisomwa na wana_Forum zaidi ya 818 mpaka wakati huu ninapokuandikieni huu ujumbe.

Ninakushukuruni nyote sana sana for your comments and advices, kuanzia Bubu Ataka Kusema ambae ilibidi sio atake kusema tu bali safari hii alisema kabisa na nyote wengine..

Nd. eRRY84, beats zako zilikuwa nzuri sana na ndizo zinazonifanya niishi mpaka leo. The beats make me feel like crying with deep emotions!

Firstlady1 na Sugar Wa Kweli, sijui kama ndio nyinyi wamoja au vipi, lakini ninakushukuruni pia for being so touched!

Kwa ujumla, ninakushukuruni nyote kwa advices zenu.

Kabla sijachukua uamuzi wangu wa mwisho kutokana na ushauri wenu mlionipa, ninaona bora kwanza nilipe kodi ya chumba ninachokaa ili huko mbele nisije kuelezwa kuwa nimehama nyumba bila ya kulipa kodi.

Kwahivyo, landlord wangu Nd. Maxence Melo Mubyazi, ninakuomba at any time baada ya kuisoma hii msg uende any branch ya Western Union hapa DSM kuchukua kodi ya chumba ninachokaa ya Dollar 110 (equivalent to TShs 150,824.80). Kama utapata matatizo huko Western Union, tafadhali wasiliana na mimi.

Nimeengeza makusudi Dollar 10 kwasababu nipate kumpita Bubu, ili BUBU ATAKE KUSEMA – kwani namjua yeye anapenda kushindana katika mambo mazuri..

In fact, Nd. Melo, tayari nishakuletea details kuhusu haya malipo kwa email tokea jana. Soma kwanza email msg yako kabla hujaenda huko Western Union, kwasababu watakuuliza masuala fulani fulani utakapokuenda.

Nd. Wana_Forum, ninakutakieni kila la kheri katika haya mapigano yetu against UFISADI katika nchi yetu na kwa mara nyengine ninakushukuruni tena na tena kwa comments zenu na advices zenu mlizonipa.

Kama kuna mmoja wetu ambae ataweza kumueleza Bwana Chenge aturejeshee vile vijisenti vyetu vya commission ya Radar alivyotunyang'anya itakuwa ni vizuri sana ili tupate kuwajengea shule ya kisasa wale watoto wetu wa Mbagala.

Kila la kheri.

Ndugu yenu / Ngida Wa Ngida (Ngida1)
 
Dear Ndugu: Ganesh, Lampart, Kichuguu, Mndundu, Gudboy, Bubu Ataka Kusema, Mzee Mwanakijiji, Buchanan, Firstlady1, Nguli, Ziondaughter, Bluray, MTM, Josh Michael, Mtoto, Chrispin, Geoff, eRRy84, Omumura, Kweli, Ngambo Ngali, Kobe, Son of Alaska, Kidatu, MzeePunch, Ndahani, Tripo9, Nicko, Mchili, ChaMtuMavi, Maane, kelly01, Dark City, Sugar wa Ukweli, BabaJ, Sonara, Sipo, Mchukia Fisadi, Richard pamoja na wote mlioniletea PMs,

Samahanini sana kwa kimya changu, kwani nilikuwa ninazitilia maanani zile advices mlizonipa kwenye comments zenu. Nimesoma kila comment zaidi ya mara 3.

Nimefarajika sana na msgs zenu. Nimeshindwa kumjibu kila mmoja wenu kwasababu msgs zilikuwa ni nyingi. Nimepokea comments 44 pamoja na private emails 67. Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama mtakuwa-touched na ule ujumbe wangu kama mlivyoonesha. Pia, ule ujumbe wangu ulisomwa na wana_Forum zaidi ya 818 mpaka wakati huu ninapokuandikieni huu ujumbe.

Ninakushukuruni nyote sana sana for your comments and advices, kuanzia Bubu Ataka Kusema ambae ilibidi sio atake kusema tu bali safari hii alisema kabisa na nyote wengine..

Nd. eRRY84, beats zako zilikuwa nzuri sana na ndizo zinazonifanya niishi mpaka leo. The beats make me feel like crying with deep emotions!

Firstlady1 na Sugar Wa Kweli, sijui kama ndio nyinyi wamoja au vipi, lakini ninakushukuruni pia for being so touched!

Kwa ujumla, ninakushukuruni nyote kwa advices zenu.

Kabla sijachukua uamuzi wangu wa mwisho kutokana na ushauri wenu mlionipa, ninaona bora kwanza nilipe kodi ya chumba ninachokaa ili huko mbele nisije kuelezwa kuwa nimehama nyumba bila ya kulipa kodi.

Kwahivyo, landlord wangu Nd. Maxence Melo Mubyazi, ninakuomba at any time baada ya kuisoma hii msg uende any branch ya Western Union hapa DSM kuchukua kodi ya chumba ninachokaa ya Dollar 110 (equivalent to TShs 150,824.80). Kama utapata matatizo huko Western Union, tafadhali wasiliana na mimi.

Nimeengeza makusudi Dollar 10 kwasababu nipate kumpita Bubu, ili BUBU ATAKE KUSEMA – kwani namjua yeye anapenda kushindana katika mambo mazuri..

In fact, Nd. Melo, tayari nishakuletea details kuhusu haya malipo kwa email tokea jana. Soma kwanza email msg yako kabla hujaenda huko Western Union, kwasababu watakuuliza masuala fulani fulani utakapokuenda.

Nd. Wana_Forum, ninakutakieni kila la kheri katika haya mapigano yetu against UFISADI katika nchi yetu na kwa mara nyengine ninakushukuruni tena na tena kwa comments zenu na advices zenu mlizonipa.

Kama kuna mmoja wetu ambae ataweza kumueleza Bwana Chenge aturejeshee vile vijisenti vyetu vya commission ya Radar alivyotunyang’anya itakuwa ni vizuri sana ili tupate kuwajengea shule ya kisasa wale watoto wetu wa Mbagala.

Kila la kheri.

Ndugu yenu / Ngida Wa Ngida (Ngida1)

Ngida1 mbona wazidi kututia machungu, yani mwenzio nasoma huu ujumbe wako nikitegemea sentesi inayofuata utakuwa umesema nimebadili mawazo n am staying. lakini najua utabadili tu mawazo, uwe uynakuja hata kusalimia basi.
 
Kila la kheri mkuu, mchango wako bado utaendelea kutambulika. Ninakuunga mkono kwa kuamua kuchunga afya yako. Ila nionavyo mimi hutaweza kwenda moja kwa moja hivyo utakapojisikia kurudi mapambanoni karibu. Otherwise badili mbinu ya mapambano ili wajukuu wasijepata uchungu kama unaoupata wewe sasa.
 
Dear Ndugu: Ganesh, Lampart, Kichuguu, Mndundu, Gudboy, Bubu Ataka Kusema, Mzee Mwanakijiji, Buchanan, Firstlady1, Nguli, Ziondaughter, Bluray, MTM, Josh Michael, Mtoto, Chrispin, Geoff, eRRy84, Omumura, Kweli, Ngambo Ngali, Kobe, Son of Alaska, Kidatu, MzeePunch, Ndahani, Tripo9, Nicko, Mchili, ChaMtuMavi, Maane, kelly01, Dark City, Sugar wa Ukweli, BabaJ, Sonara, Sipo, Mchukia Fisadi, Richard pamoja na wote mlioniletea PMs,

Samahanini sana kwa kimya changu, kwani nilikuwa ninazitilia maanani zile advices mlizonipa kwenye comments zenu. Nimesoma kila comment zaidi ya mara 3.

Nimefarajika sana na msgs zenu. Nimeshindwa kumjibu kila mmoja wenu kwasababu msgs zilikuwa ni nyingi. Nimepokea comments 44 pamoja na private emails 67. Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama mtakuwa-touched na ule ujumbe wangu kama mlivyoonesha. Pia, ule ujumbe wangu ulisomwa na wana_Forum zaidi ya 818 mpaka wakati huu ninapokuandikieni huu ujumbe.

Ninakushukuruni nyote sana sana for your comments and advices, kuanzia Bubu Ataka Kusema ambae ilibidi sio atake kusema tu bali safari hii alisema kabisa na nyote wengine..

Nd. eRRY84, beats zako zilikuwa nzuri sana na ndizo zinazonifanya niishi mpaka leo. The beats make me feel like crying with deep emotions!

Firstlady1 na Sugar Wa Kweli, sijui kama ndio nyinyi wamoja au vipi, lakini ninakushukuruni pia for being so touched!

Kwa ujumla, ninakushukuruni nyote kwa advices zenu.

Kabla sijachukua uamuzi wangu wa mwisho kutokana na ushauri wenu mlionipa, ninaona bora kwanza nilipe kodi ya chumba ninachokaa ili huko mbele nisije kuelezwa kuwa nimehama nyumba bila ya kulipa kodi.

Kwahivyo, landlord wangu Nd. Maxence Melo Mubyazi, ninakuomba at any time baada ya kuisoma hii msg uende any branch ya Western Union hapa DSM kuchukua kodi ya chumba ninachokaa ya Dollar 110 (equivalent to TShs 150,824.80). Kama utapata matatizo huko Western Union, tafadhali wasiliana na mimi.

Nimeengeza makusudi Dollar 10 kwasababu nipate kumpita Bubu, ili BUBU ATAKE KUSEMA – kwani namjua yeye anapenda kushindana katika mambo mazuri..

In fact, Nd. Melo, tayari nishakuletea details kuhusu haya malipo kwa email tokea jana. Soma kwanza email msg yako kabla hujaenda huko Western Union, kwasababu watakuuliza masuala fulani fulani utakapokuenda.

Nd. Wana_Forum, ninakutakieni kila la kheri katika haya mapigano yetu against UFISADI katika nchi yetu na kwa mara nyengine ninakushukuruni tena na tena kwa comments zenu na advices zenu mlizonipa.

Kama kuna mmoja wetu ambae ataweza kumueleza Bwana Chenge aturejeshee vile vijisenti vyetu vya commission ya Radar alivyotunyang’anya itakuwa ni vizuri sana ili tupate kuwajengea shule ya kisasa wale watoto wetu wa Mbagala.

Kila la kheri.

Ndugu yenu / Ngida Wa Ngida (Ngida1)

Hi Ngida1,
I say, ninakushukuru kwa kutukumbusha juu ya michango. Hata mimi sijamlipa huyo landlord wetu. Unalipa na baadae unataka kutoka hapa ukumbini, kwa kweli wewe ni Mtanzania wa karne ijayo!
Ukitoka sijui kama tutapata mwanaukumbi kama wewe. Hivi sasa ninaamini kama huu ufisadi unakutoa raha kweli. Je, angelikuwa Chenge mwanao ungelimfanya nini?

Poa ndugu, huo mchango wako unatupa nguvu sisi wengine kuzidisha mapambano against mafisadi na matunda utayaona baada ya uchaguzi mwakani.

 
Ngida,nasikia kuna ka jeshi ka inji fulani ukifa kwa risasi ya kisogo maiti yako haizikwi kijeshi inatupwa tu,ukifa kwa risasi ya kifua wewe ni shujaa na unazikwa kwa heshima zote za kijeshi.Amua mdau kama mpiganaji mahiri wa hapa JF unaamua uzikwe vipi?
 
Ngida1,
Tembelea kwanza Gereza la Keko na gereza lingine kule Arusha (gereza kuu) ongea na watu waliofungwa kwasababu za kijinga (nje ya katiba) na wanasiasa jinsi wanavyoteseka na kuteswa, na jinsi familia zao zinavyoteseka nini EPA! kuna watu wamenyimwa haki za msingi za kuishi na hao wanaoitwa Village leaders DC etc..anyway kwakuwa una pressure heri usije kufa kuliko ufe...
1. wewe mayai JF inakupeleksha je wewe mwenyewe ukipelekwa ndani kwa mambo ya Kijinga ya kutetea watu utakufa jiondokee ndugu!!
2. EPA ni cha mtoto kwa haki za msingi za wananchi tunazoona zikinyang'wa
3. pole sana hata hivyo ..wewe bado hujakerwa ungekerwa ...JF tungekukuta mahakamani kila siku bila kuchoka ..unamziria nguruwe shamba?
 
Mkuu anakimbia sababu kaona picha ya shule ya msingi mbagala.......hajaona shule za msingi za tandahimba na nyinginezo.....wakati huo huo mashangingi yananunuliwa kwa kuwapeleka mai waifu wao sokoni....Karibu Tanzania mkuu!!!
 
kama mashujaa wetu wangekuwa na roho nyepesi kama ya huyu bwana leo tusingekuwa tunawakumbuka. vita hii tutaishinda lakini baada ya damu za mashujaa kadhaa kumwagika. kuchicken -out ni usaliti. aluta contunua...
 
kama mashujaa wetu wangekuwa na roho nyepesi kama ya huyu bwana leo tusingekuwa tunawakumbuka. vita hii tutaishinda lakini baada ya damu za mashujaa kadhaa kumwagika. kuchicken -out ni usaliti. aluta continua...
 
Dear Nd. Wana_Forum,
Mara moja huko nyuma nilibahatika kuwepo kule Visiwani wakati wa sherehe za Mapinduzi tarehe 12 January. Siku hio marehemu Karume alihutubia wananchi pale penye Uwanja wa Coopers ( Zanzibar ) na watu wengi sana walihudhuria. Rais Nyerere alikuwa miongoni mwa waalikwa pamoja na George Magombe aliyekuwa Secretary General wa OAU (AU) wa siku zile. Watoto wa Karume (Amani na Ali) siku hio walivaa camouflage za kijeshi na walipita mbele ya wageni kwenye jeep ya kijeshi ambayo nyuma ilikuwa iwazi wakitoa salute kwa waalikwa pamoja na wana_TPDF wengine.
Siku hizo Msumbiji, Angola na South Africa bado zilikuwa chini ya ukoloni na mapigano makali yalikukwa yakiendelea Kusini mwa Africa.
Baada ya military parade Karume aliwahutubia wananchi and at one point in his speech alimgeukia Magombe na akamueleza kuwa yeye anawatoa muhanga watoto wake wawili ili wajiunge na wapiganaji wa huko Kusini ya Africa katika kuuangamiza ukoloni. Watu waliyashangiria sana maneno hayo na siku yapili yake hii habari ilikuwa kwenye front page ya kila gazeti including the reactionary East African Standard.
Karume kabla hajauawa alielezwa kuwa kuna mpango wa kumuua yeye pale Makao Makuu ya ASP (Kisiwandui) na akadhania kuwa ilikuwa ni utani tu, kama alivyodhania Sultani kuwa mipango ya mapinduzi ya tarehe 12 January ilikuwa ni utani tu.

Three days before his death, Karume was quoted to have told Sh. Thabit Kombo jokingly that, there wouldn't be a better place for him to die than in the headquarters of his own Party!
Mimi sio kama Karume – bado sijaoa na sina mtoto au watoto wa kuwatoa muhanga katika hii vita yetu against MAFISADI, na kwahivyo NINAJITOA MUHANGA MIMI MWENYEWE!!!
Pia, mimi sina Chama kama Karume and therefore there wouldn't be a better place for me to die fighting MAFISADIS than in this very anti-mafisadi Forum?
Baada ya kupokea ushauri wenu, hii leo nimeamua kurejea tena ukumbini nikiwa ngangari na sio lelemama tena kama mlivyokuwa mkinifahamu huko nyuma.
Aluta Continua!!!
/Ngida Wa Ngida (Ngida1)
 
huwezi kukimbia matatizo....lazima ujue chanzo cha matatizo yalitopo na usaidie nchi kwa kutoa maoni ya nini kifanyike ili kukabiriana na haya yaliyopo na yale yanayo weza kutokea.....kukimbia tatizo sio kutatua taizo huyu bwana anataka arudi mpaka pale maisha bora kwa kila mtanzania yatakapo patikana.......''die hard...die trying''hayo ndiyo maisha
 
Dear Nd. Wana_Forum,
Mara moja huko nyuma nilibahatika kuwepo kule Visiwani wakati wa sherehe za Mapinduzi tarehe 12 January. Siku hio marehemu Karume alihutubia wananchi pale penye Uwanja wa Coopers ( Zanzibar ) na watu wengi sana walihudhuria. Rais Nyerere alikuwa miongoni mwa waalikwa pamoja na George Magombe aliyekuwa Secretary General wa OAU (AU) wa siku zile. Watoto wa Karume (Amani na Ali) siku hio walivaa camouflage za kijeshi na walipita mbele ya wageni kwenye jeep ya kijeshi ambayo nyuma ilikuwa iwazi wakitoa salute kwa waalikwa pamoja na wana_TPDF wengine.
Siku hizo Msumbiji, Angola na South Africa bado zilikuwa chini ya ukoloni na mapigano makali yalikukwa yakiendelea Kusini mwa Africa.
Baada ya military parade Karume aliwahutubia wananchi and at one point in his speech alimgeukia Magombe na akamueleza kuwa yeye anawatoa muhanga watoto wake wawili ili wajiunge na wapiganaji wa huko Kusini ya Africa katika kuuangamiza ukoloni. Watu waliyashangiria sana maneno hayo na siku yapili yake hii habari ilikuwa kwenye front page ya kila gazeti including the reactionary East African Standard.
Karume kabla hajauawa alielezwa kuwa kuna mpango wa kumuua yeye pale Makao Makuu ya ASP (Kisiwandui) na akadhania kuwa ilikuwa ni utani tu, kama alivyodhania Sultani kuwa mipango ya mapinduzi ya tarehe 12 January ilikuwa ni utani tu.

Three days before his death, Karume was quoted to have told Sh. Thabit Kombo jokingly that, there wouldn't be a better place for him to die than in the headquarters of his own Party!
Mimi sio kama Karume – bado sijaoa na sina mtoto au watoto wa kuwatoa muhanga katika hii vita yetu against MAFISADI, na kwahivyo NINAJITOA MUHANGA MIMI MWENYEWE!!!
Pia, mimi sina Chama kama Karume and therefore there wouldn't be a better place for me to die fighting MAFISADIS than in this very anti-mafisadi Forum?
Baada ya kupokea ushauri wenu, hii leo nimeamua kurejea tena ukumbini nikiwa ngangari na sio lelemama tena kama mlivyokuwa mkinifahamu huko nyuma.
Aluta Continua!!!
/Ngida Wa Ngida (Ngida1)

Ngida Wa Ngida (Ngida1)
Tunakukaribisha tena hapa kwenye Forum na tumefurahi kuwa sasa wewe ni NGANGARI na sio lelemama tena. Sasa tunakuomba ulete vitu ili wengine tusome. Lazima tuwe pamoja kwa mvua na jua. Nimefurahi juu ya hio historia fupi ulioitoa juu ya shujaa Karume. Kumbe KARUME alikuwa mwana-mapinduzi kweli kweli. Mimi sikuwahi kumuona kwa macho na ninajuta sana.
Wako Ngangari mwenzio katika vita dhidi ya ufisadi / Lampart.
 
Ngida usiwe muoga,kuikimbia hii forum wont help,askari bora huwa haangaliwi kwa ku defeat tuu bali pia attacks zake,tulia tuendeleze hii michakato yetu humuhumu,kama ya Musa yamekustaajabisha hivi,je,utastahamili ya firauni?
"Kushuka mlima tuu unahema,je kupanda hupati woga?"
 
Ngida usiwe muoga,kuikimbia hii forum wont help,askari bora huwa haangaliwi kwa ku defeat tuu bali pia attacks zake,tulia tuendeleze hii michakato yetu humuhumu,kama ya Musa yamekustaajabisha hivi,je,utastahamili ya firauni?
"Kushuka mlima tuu unahema,je kupanda hupati woga?"

Hivi mtu akiambiwa na majirani zake kuwa mkewe anamegwa mahali au mumewe anamega mahali anahama nyumba?? Je, akimuona huyo muharibifu atakimbia na kumpisha nyumba?

Not over until its over!!
 
Back
Top Bottom