Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Ngida wanasema hasira hasara..inabidi ushikamane kwa nguvu zote ku fight huo ufisadi...kama una nia nzuri na nchi yako then fight for it kama mpiganaji halisi..angalia mifano ya wapiganaji waliopita kwenye nchi nyingine....acha kuwa lelemama....inabidi uwe ngangali....simama imara kwa nchi yako na utakuja kufurahuia matunda yake....ila usife moyo bado
Hizo zinaitwa hasira za mkizi .