mmmh haya bana.....
Napita i hv no objectional !
Mimi nimeamua kung'atuka jf kutokana na kukosa amani baada ya kusikia charminglady anaondoka. Imeniuma sana, nmesikitika sana na nmeshamtua PM invisible ya kumuomba kujiuzulu humu jf.
Kwaherini marafiki zangu wote wapendwa.
Naomba wale nilio wakosea wanisamehe bure.
kuanzia kesho hamtaniona tena.
Watakao penda tukumbukane kwa email. figganigga@jamiiforums.com.
Mimi na charminglady tunaenda kuanzisha socialnetwork yetu. itakapo kuwa tayari mtajulishwa. kwaherini nyote. Mia
mke mwenza! lol, uso mkavuuuuuu??!! khaaaaa!
khaaa shemeji!!!!!1Hata wewe waondoka yakhe....!!!! Alhamdulillah wacha niongeze spidi kwa Eversmilin Gal
Umeshndwa kwa charm nw umemgeukia shemeji yangu,.
Eee bana eeee!kuzima simu sio ishu ujue.....