figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Mimi nimeamua kung'atuka jf kutokana na kukosa amani baada ya kusikia charminglady anaondoka. Imeniuma sana, nmesikitika sana na nmeshamtua PM invisible ya kumuomba kujiuzulu humu jf.
Kwaherini marafiki zangu wote wapendwa.
Naomba wale nilio wakosea wanisamehe bure.
kuanzia kesho hamtaniona tena.
Watakao penda tukumbukane kwa email. figganigga@jamiiforums.com.
Mimi na charminglady tunaenda kuanzisha socialnetwork yetu. itakapo kuwa tayari mtajulishwa. kwaherini nyote. Mia
Kwaherini marafiki zangu wote wapendwa.
Naomba wale nilio wakosea wanisamehe bure.
kuanzia kesho hamtaniona tena.
Watakao penda tukumbukane kwa email. figganigga@jamiiforums.com.
Mimi na charminglady tunaenda kuanzisha socialnetwork yetu. itakapo kuwa tayari mtajulishwa. kwaherini nyote. Mia
Last edited by a moderator: