Kwaherini Star times

na nyie wa Dstv wekeni mada yenu mtuambie kwanini tununue Dstv, mleta mada katuambia Azam sasaivi wana local channel, Dstv vipi zipo? maana siwezi acha kuangalia habari za ndani, japo burudani muhimu. Binafsi natumia start times nawaza niamie wapi sijapata jibu.
 
Dah! Mkuu hata mie huwa nashangaa yani mtu kifaransa hajui ila anaangalia movie ya watu wanaongea kifaransa yenye subtitles ya kiingereza halafu anajisifu siangaliii movie zilizotafsiriwa.
 
Unga tela, hama....
mi hawa ZUKU wamenichosha aswaa, kwenye king'amuzi chao hamna ITV, CLOUDS TV, CHANNEL TEN, STAR TV, zaidi ya TBC tu na wasafi sijui, kibaya zaidi kifurushi kikiisha uhoni chchote, nataka ninunue King'amuzi cha azam tu kwakweli
Najutaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…