Mghoshingwa
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 305
- 73
Nikuulize swali na uwe mkweli mnatumia condom au???Wakuu poleni kwa majukumu. Kabla hujafa hujaumbika ( unaweza pia kukumbuka). Miaka mitatu (3) iliyopita nilitokea kumpenda mdada mmoja wa kimachame kama mchepuko (maana nimeona na Nina familia). Tuliishi kwa amani na utulivu Mimi na huyo mchepuko...bila kuathiri Huduma za msingi za familia yangu. Cha kushangaza kila muda unavyo kwenda anaongeza wivu na Mimi kiasi ambacho kuna muda ana ninunia na kuona eti naegamia kwenye familia tu. Nikaanza kushtuka...! Miez 2 iliyo pita tuli gombana kidogo akanitumia Ujumbe wa kuniacha , nika kuomba radhi yakaisha.
Jana nili kwenda Ku mpick maeneo ya mbuyuni pale Morocco, nilipo fika kituoni nika park , hayupo abadai yuko ofisini anakuja. Aka nikalisha sana. Ulikuwa muda wa SAA 12 hivi. Akaja....nilivyo muuliza kwanini amechelewa na pale hakuna parking aka ninunia. Mpaka muda huu kanyamaza na Jana hukupokea simu ..anasema hutaki kuongea. NIWE MUWAZI nampenda huyu binti...ila naona kama ana ni mistreat. Mwenge ushauri wowote naomba plz. Ila Nina nia ya kumuacha rasmi.
Ni hayo tu .
Sijawah kutumia condom tangia nizaliwe.Nikuulize swali na uwe mkweli mnatumia condom au???
hahahaha duh hatar hiiKama anakuzingua sana muhadithie mkeo anaweza kukushauri vizuri sana. Mke huwa mfariji sana hasa wakati wa matatizo.
Ngoja nikuambie hakuna mwanamke anayetembea na mme wa mtu na akawa hana ka boyfriend pembeni.je huo mchepuko ukuambukize then umuambukize mkeo utajisikiaje??? Au iwe vice versa mkeo afanywe nje bahati mbaya akupe ugonjwa wewe utamsamehe???? Point yangu tuwe tunawafikiria wapenzi wetu jamaniSijawah kutumia condom tangia nizaliwe.
Tanteeeeeependa wewe pia
Na wewe dogo na huo uinjinia wako unakuwa kama ndio wa kwanza kusoma engineering asee, kua basi ukomae kidogo jamii ione uinjinia ndani yako da!
Na wewe hiyo "sio" yako mmmhhh..****** tu.
Note; sio= siyo?
Ivi engineer sio 'nshomile' kweli?
HahahaNimejaribu ku decode sentensi yako from Analogue to Digital and then back to Analogue again.... Cjakuelewa.
Usije kuwa umenitukana, nitakufanyia kitu mbaya.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Kama umesoma Engineering basi wewe ni jipu, nini maana ya sio?
Poa babraMichepuko bhana ubaya ni kwamba anataka umpe haki Sawa na mkeo na kuona unampendelea Wife kwasabab umempa mamlaka na sijui huwa mnaawambia nini michepuko yenu maana wanajiamini sana Baba kama unaipenda familia yako na unatambua thamani ya mkeo na pia Kama unapenda kuishi maisha marefu yenye amani maana kuugua presha hakuko mbali ukiendelea na life style hiyo achana na mambo ya michepuko
Poa barbraPoa babra
Asante ndugu. Nitafanya hivyo.Ukiona hivyo jua anamtu mwingine,na ukishaonyesha udhaifu wa kumbembeleza kila Mara umekwisha,atakupeleka anavyotaka, wenyamaza tu,atajirudi mwenyewe, MPE condition mwsho wa kuijirudi,kama unampenda ,ila km humpendi piga kibuti afie mbele
tatizo unafikiria anakuelewa basi....... kweli mchepuko unamgandisha barabarani!!!!!! aiseeeewewe wee rekebisha kauli yako unafikiria kuoa ni kuvaa shela acha acha kabisa haraka sana... umezaa una mtoto usitengeneze mazingira ya kumpa shida mwanao sababu ya mbunye za nje tulia muda unaotumia kutia huko nje unaweza kaa na mwanao mkacheza au ukalima mboga za majani kwenye ndoo ...ACHA KABISA NISIKUSIKIE .